Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Kesho anakutana na waandishi wa habari swali langu ni hili:-
Ilani ya uchaguzi ya Mwaka 2005 alisema once akichaguliwa kuwa rais ataingiza mahakama ya KADHI na kujiunga na OIC, miaka mitano imepita bila chochote, je nini msimamo wake juu ya hili na kwa nini Ilani ya mwaka huu haizungumzii kabisa maswala ya mahakama ya KADHI na OIC?
Ilani ya uchaguzi ya Mwaka 2005 alisema once akichaguliwa kuwa rais ataingiza mahakama ya KADHI na kujiunga na OIC, miaka mitano imepita bila chochote, je nini msimamo wake juu ya hili na kwa nini Ilani ya mwaka huu haizungumzii kabisa maswala ya mahakama ya KADHI na OIC?