rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu nina maswali muhimu ningependa mnijibu
mimi sio nsikilizaji wa radio yenu lakini leo kwa bahati nilijikuta ninasikiliza kipindi chenu cha magazeti
kitendo mlichofanya na kashfa zenu hasa juu ya wapinzani ndio zimepelekea mimi kutua hapa jf na kuwauliza maswali mawili matatu kwa sababu hamkosekani hapa jamvini
huyo pj alipoanza kusoma magazeti alichukua gazeti la habari leo na kusoma report inayomuhusu Dr Slaa\
kwa kweli habari ilivyokaa na jinsi mlivyoshabikia mimi binafsi nilijisikia vibaya sana,inaoneka live kabisa hamumpendi Dr slaa na upinzani kwa ujumla wake
Hando kwa kuongezea chumvi aliongea kwa madharau na kusema (huyu mzee bana)
swali:
hivi wakuu hiyo kampuni mnayofanya kazi hapo ni mali ya serikali??
hivi kuna faida yoyote mnayopata kwa kuukashifu upinzani?
hivi mnajua mnasikilizwa na watu tofaouti wenye itikadi tofauti za kisiasa?
hivi mnajua kwamba mnafanya kazi public radio?
hivi mishahara ya 175,000 mnayopewa na huyo muhaya mnaona mmefika?
hamjui hiyo hela sisi wengine ni matumizi yetu ya siku moja?
kwa kuendelea kushabikia ccm mkiwa hapo kwenye public radio mnapata faida gani?
mnadharu mfumo mzima wa siasa na demokracia ndani ya taifa letu?
labda niweke wazi tu kwamba nawafahamu vizuri sana nyie,juzi pj ulikuwa unagraduate na ki-degree chako feki na mimi nilikuwepo,na nilikaa karibu kabisa na wewe,hali yako hairidhishi hasa kiafya,unatia huruma mkuu,kuna kiarufu fulani unatoa ambacho kilitukera wengi,kwa ujumla mkuu huna mbele wala nyuma,muhaya akikufukuza wewe utatembea na ndala
mkuu hando nakupata mahali unaishi,majirani zako wanalalamika sana kuhusu mfumo mzima wa maisha yako,usiku kucha hauishi kujikuna,tatizo ni nini mkuu?huoni kama na wewe unaishi maisha ya dhiki tu?familiya tunaijua jinsi inavyoganga njaa,
nasema hivi nitatoa yote hapa yanayowahusu yale ya siri kabisa, (si mnayajua?)endeleeni na huo upuuzi wa kujipendekeza tuone mwisho wake
mimi sio nsikilizaji wa radio yenu lakini leo kwa bahati nilijikuta ninasikiliza kipindi chenu cha magazeti
kitendo mlichofanya na kashfa zenu hasa juu ya wapinzani ndio zimepelekea mimi kutua hapa jf na kuwauliza maswali mawili matatu kwa sababu hamkosekani hapa jamvini
huyo pj alipoanza kusoma magazeti alichukua gazeti la habari leo na kusoma report inayomuhusu Dr Slaa\
kwa kweli habari ilivyokaa na jinsi mlivyoshabikia mimi binafsi nilijisikia vibaya sana,inaoneka live kabisa hamumpendi Dr slaa na upinzani kwa ujumla wake
Hando kwa kuongezea chumvi aliongea kwa madharau na kusema (huyu mzee bana)
swali:
hivi wakuu hiyo kampuni mnayofanya kazi hapo ni mali ya serikali??
hivi kuna faida yoyote mnayopata kwa kuukashifu upinzani?
hivi mnajua mnasikilizwa na watu tofaouti wenye itikadi tofauti za kisiasa?
hivi mnajua kwamba mnafanya kazi public radio?
hivi mishahara ya 175,000 mnayopewa na huyo muhaya mnaona mmefika?
hamjui hiyo hela sisi wengine ni matumizi yetu ya siku moja?
kwa kuendelea kushabikia ccm mkiwa hapo kwenye public radio mnapata faida gani?
mnadharu mfumo mzima wa siasa na demokracia ndani ya taifa letu?
labda niweke wazi tu kwamba nawafahamu vizuri sana nyie,juzi pj ulikuwa unagraduate na ki-degree chako feki na mimi nilikuwepo,na nilikaa karibu kabisa na wewe,hali yako hairidhishi hasa kiafya,unatia huruma mkuu,kuna kiarufu fulani unatoa ambacho kilitukera wengi,kwa ujumla mkuu huna mbele wala nyuma,muhaya akikufukuza wewe utatembea na ndala
mkuu hando nakupata mahali unaishi,majirani zako wanalalamika sana kuhusu mfumo mzima wa maisha yako,usiku kucha hauishi kujikuna,tatizo ni nini mkuu?huoni kama na wewe unaishi maisha ya dhiki tu?familiya tunaijua jinsi inavyoganga njaa,
nasema hivi nitatoa yote hapa yanayowahusu yale ya siri kabisa, (si mnayajua?)endeleeni na huo upuuzi wa kujipendekeza tuone mwisho wake