Swali kwa Great Thinkers Tu.

Mambo makubwa duniani yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na uwekezaji mkubwa kwenye Utafiti na maendeleo au kwa kiingereza 'Research and Development' kwa kifupi R&D.

Katika hili kuna kujiuliza mengi ili kufikia lengo kwa gharama nafuu lakini kwa viwango bora na mazingira bora.VFM- Value for Money.

Kwa kifupi kwenu wajuzi wa R&D. Naomba tufanye utafiti makini na kisha tujadiliane kupata mbinu mbalimbali juu ya swali lifuatalo.

Kwa kuwa sababu tunazo, nia tunayo na uwezo umechakachuliwa,

Tutawezaje kuing'oa CCM madarakani bila kumwaga damu?

VFL - Value for life.

Itawezekana Tu katika mazingira yafuatayo.
1. Kuwe na Katiba Mpya
2. Kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi
3. Rais asiwe na Mamlaka ya Kuteua Kiongozi wa ngazi yoyote katika Tume ya Uchaguzi.
4. Mfumo wa Uchaguzi uwe huru.
5. Kuwe na utashi wa Kisiasa wa kuwa na Uchaguzi Huru.
......
n.k
 
Hata ukifanya yote hayo unayoshauri huwezi kuiondoa CCM bila kuwa na katiba mpya. Katiba mpya inayotoa uwanja sawa kwa wagombea wote (hata wagombea binafsi) na kuhakikisha haki sawa katika kupiga kura, kuzihesabu na kutangaza matokeo. Vinginevyo hakuna kitu CCM itaendelea tu kutawala tu milele.

Kenya wamebadili katiba baada ya kuiondoa chama tawala baada ya muungano wa vyama vya upinzani na kuiondoa KANU
 
Hoja nzuri.
Watawala hawawezi kutengeneza mazingira neutral ambayo yatawatoa madarakani. Historia sehemu nyingine (mifano na hakika unayo) inaonesha non violent movement inaenda na watu kupoteza maisha in the process sababu dola lazima itapinga. Kwa hiyo kwa sasa Tanzania tufikirie non violent movement lakini tuwe tayari kupambana na dola na kuwapoteza ndugu zetu. Tushirikishe zaidi wasomo ambao jumuiya ya kimataifa inawasikiliza
 
Hoja nzuri.
Watawala hawawezi kutengeneza mazingira neutral ambayo yatawatoa madarakani. Historia sehemu nyingine (mifano na hakika unayo) inaonesha non violent movement inaenda na watu kupoteza maisha in the process sababu dola lazima itapinga. Kwa hiyo kwa sasa Tanzania tufikirie non violent movement lakini tuwe tayari kupambana na dola na kuwapoteza ndugu zetu. Tushirikishe zaidi wasomo ambao jumuiya ya kimataifa inawasikiliza

Yaap mkuu na ninaamini kuwa tukitafiti vizuri tutapata njia muafaka ya kujikomboa bila kumwaga damu.
 
True lakini mbona unaanzia kupoteza ndugu zako?mwanamapinduzi wa kweli huwaza kupotea yeye kwa ajili ya wengine sio wengine wapotee kwa ajili yake.mandela alienda jela kwa ajili ya wasa wote sio aliwapeleka jela watu kwa ajili yake sema "ikibidi tupotee sio tupoteze ndugu zetu"upo hapo?
hoja nzuri.
Watawala hawawezi kutengeneza mazingira neutral ambayo yatawatoa madarakani. Historia sehemu nyingine (mifano na hakika unayo) inaonesha non violent movement inaenda na watu kupoteza maisha in the process sababu dola lazima itapinga. Kwa hiyo kwa sasa tanzania tufikirie non violent movement lakini tuwe tayari kupambana na dola na kuwapoteza ndugu zetu. Tushirikishe zaidi wasomo ambao jumuiya ya kimataifa inawasikiliza
 
Back
Top Bottom