SHAROBALO
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 771
- 349
Habari
Naomba msaada juu ya HILI.
Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya
1)Akupe mtoto mwema ambaye ni mchamungu na mtiifu ila ataishi kwa miaka ishirini tu atamchukua yaani atafariki.
2)Akupe mtoto mtukutu,asiyependa dini na asiye na maadili yoyote kwa kifupi msumbufu, ila ataishi kwa miaka mingi duniani
Je ungekuwa wewe ungechagua yupi kati ya hao wawili?!!
NAOMBA JIBU SERIOUSLY.
THANK YOU
Naomba msaada juu ya HILI.
Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya
1)Akupe mtoto mwema ambaye ni mchamungu na mtiifu ila ataishi kwa miaka ishirini tu atamchukua yaani atafariki.
2)Akupe mtoto mtukutu,asiyependa dini na asiye na maadili yoyote kwa kifupi msumbufu, ila ataishi kwa miaka mingi duniani
Je ungekuwa wewe ungechagua yupi kati ya hao wawili?!!
NAOMBA JIBU SERIOUSLY.
THANK YOU