BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,026
- 3,940
Chadema wamepigwa chini na Mkulu 'Tutendee' kwenye juhudi zao za kumuwekea pingamizi JK asigombee Uraisi.
'Tutendee' amewaambia kuwa kama hawaridhiki na maamuzi yake wanaweza kwenda mbele.
Chadema IMESHAURIWA na Mabere Marando kuwa isijisumbue kwenda mahakamani kwa vile itakuwa ni kupoteza muda.
Chadema imekubali USHAURI wa Mabere kirahisiii na imesema badala yake itapelekea kesi yake kwenye Mahakama ya Wananchi Wapiga kura.
Nauliza hivi:
Hivi Chadema imewezaje kukubali ushauri huu wa mheshimiwa sana Mabere kirahiisi wa kuacha kwenda mahakamani kutafuta haki???
Kwa nini Chadema wasiipeleke kesi hii mahakamani ili angalau ikawa inawasumbua tu jamaa???
Kwani Chadema walikuwa na nini cha kupoteza kwa kuipeleka kesi hii mahakamani??
Hiviii, wakati wa Vita si tunaambiwa ni vizuri tukatumia kila silaha tuliyo nayo ili hata kama hatumpigi adui basi angalau tunamu-unsettle ili angalau akose tu amani jamani??
Hivi Chadema wanaweza kukubali kweli kirahiisi kukubali ushauri wa mheshimiwa Marando ambaye ameingia chama 'Juzi' tu kwa jambo muhimu kama hili???
Kwa nini nisianze kuwaza kuwa Chama chetu Mkombozi hakichangi vizuri Karata zake????
'Tutendee' amewaambia kuwa kama hawaridhiki na maamuzi yake wanaweza kwenda mbele.
Chadema IMESHAURIWA na Mabere Marando kuwa isijisumbue kwenda mahakamani kwa vile itakuwa ni kupoteza muda.
Chadema imekubali USHAURI wa Mabere kirahisiii na imesema badala yake itapelekea kesi yake kwenye Mahakama ya Wananchi Wapiga kura.
Nauliza hivi:
Hivi Chadema imewezaje kukubali ushauri huu wa mheshimiwa sana Mabere kirahiisi wa kuacha kwenda mahakamani kutafuta haki???
Kwa nini Chadema wasiipeleke kesi hii mahakamani ili angalau ikawa inawasumbua tu jamaa???
Kwani Chadema walikuwa na nini cha kupoteza kwa kuipeleka kesi hii mahakamani??
Hiviii, wakati wa Vita si tunaambiwa ni vizuri tukatumia kila silaha tuliyo nayo ili hata kama hatumpigi adui basi angalau tunamu-unsettle ili angalau akose tu amani jamani??
Hivi Chadema wanaweza kukubali kweli kirahiisi kukubali ushauri wa mheshimiwa Marando ambaye ameingia chama 'Juzi' tu kwa jambo muhimu kama hili???
Kwa nini nisianze kuwaza kuwa Chama chetu Mkombozi hakichangi vizuri Karata zake????