Hivi hili kundi asili yake wapi? Sio kule kule kwa Msanii J.K? Kwahiyo na hii issue imepotea kiaina kama Muhogomchungu alivyopotea kwenye sanaa za maigizo? Dah! Bagamoyo ni wabaya????????!!!!!!!!!!!!Kaole sanaa group.
Perferct! Kuna kitu hawa watatu (JK, Mwema na Kova) wana-share ambacho mwenye kesi (Dr. Uli) hana! Ukikigundua ndio utajua sababu za hii movie kuanza kufifia wakati trailer yake ilikuwa inavutia! Kwakweli Watz ni mojawapo ya maajabu nane ya Dunia!Subiri namuuliza kova nakujibu sasa ivi.... Kova.kova.kova, ova.' nakupata kamanda endelea... Kuna mtu anaulizia ile muvi ya m. K imeishia wapi..? Ova. Subiri kamanda nimuulize mkuu anipe majibu ya kukupa ova,... Haya nazani umemsikia sasa subiri kama wafuasi wa kibwetere na usipoangalia utakufa ukisubiri. Note. Hizi muvi za viwango hivi zinapatikana tanzania tu, again only in tz.