zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,875
- 1,216
Nimepata fursa ya kuzunguka kwenye jimbo laKO,NILIYOYAONA ni Aibu Tupu.
Kubwa ambalo ni Tatizo kwao Ni Huduma ya Maji na Umeme,Kama hauna Punda Kupata Maji ni Tabu.
Hayo Unayaona au Unaishia Kuanzisha mashindano ya mpira wa miguu...tu.Na kutoa zawadi ya Ng'ombe.
Kubwa ambalo ni Tatizo kwao Ni Huduma ya Maji na Umeme,Kama hauna Punda Kupata Maji ni Tabu.
Hayo Unayaona au Unaishia Kuanzisha mashindano ya mpira wa miguu...tu.Na kutoa zawadi ya Ng'ombe.