Brine
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 375
- 69
:lol::lol::lol: hahahahahahahaYaani hujui! He's under 40 yrs
:lol::lol::lol: hahahahahahahaYaani hujui! He's under 40 yrs
Hivi kweli mtu ambaye unajihita great thinker unaweza kaa ukaandika makamasi kama haya? Kwanini watanzania mnapenda kkupoteza muda kwa kuandika mambo yasiyo na tija kwa taifa hili? Umaskini wetu unachangiwa kwa karibia asilimia 20 kwa kupoteza muda na kufanya mambo ya kipuuzi kama haya. Nenda kajifunze kuandika kama mtu mwenye akili timamu.
acha udomo kaya aliyekwambia pro chadema wa hapa jamvini hawamtaki ZITTO ninani tumeshakwambia kama chama wakati ukifika na kama katiba mpya itakuwa inaruhusu akipitishwa na cha tutamkubali kwani ni jembe siumeona JK mpaka kawaondoa mawazili CHADEMA,ZITTO ni kiboko ya kijani(gambaziiiii)Hivi kwa nini Pro-Chadema JF hawamtaki Zitto Kabwe?
I see, kwa hiyo wewe unaona akili ya Zitto ni makini kuliko Mbowe? Hivi mnapofanya judgement ya uwezo wa mtu huwa mnaangalia nini? Zito ni mwanamapinduzi na mpambanaji, anyefaa kuwachallenge walio juu yake lakini si yeye kuwa top leader.
Acha siasa za majitaka za UKANDA! Mbowe na Zito nani makini kiongozi?? Sababu gani mlipitisha 2005 Mbowe kugombea URAIS, CDM kwa ukabila na udini wapo mbele
Tunampenda lakini umri utakuwa bado
Hivi kwa nini Pro-Chadema JF hawamtaki Zitto Kabwe?