Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Naomba msaada, mimi siishi huko Gongo of Mboto?
Je ni wangapi mumeona helicopter za polisi au JWTZ zikitafuta watoto waliopotea kwenye mabonde au vichaka?
Nafuta sababu ya kuwahurumia Dr. Mwinyi, Mr. Nahodha; kama wameonyesha simpathy kwa vitendo baada ya tukio.
Mungu ibariki Tanzania.
Je ni wangapi mumeona helicopter za polisi au JWTZ zikitafuta watoto waliopotea kwenye mabonde au vichaka?
Nafuta sababu ya kuwahurumia Dr. Mwinyi, Mr. Nahodha; kama wameonyesha simpathy kwa vitendo baada ya tukio.
Mungu ibariki Tanzania.