Wadau, Amani Iwe Juu Yenu, Nimekua Nikifatilia Michango Mbalimbali Ndani Na Nje Ya Tanzania. Binafsi Napenda Siasa Na Harakat Zake, Kuna Kitu Kimejificha Na Hakisemwi Kuhusu Zanzibar!
Jambo Lenyewe Ni Kua Kihistoria Znz Ilikua Nchi Ilopiga Hatua Africa Masharik, Wakat Huo Hata Kabla Ya Ujio Wa Sultan Visiwan Humo! Kuna Ushahid Kua, Technologia Ya Kutumia Taa Za Barabarani Zilitumika Zanzibar Karne Ya 18 Hata Kabla Ya Marekani! Kikubwa Zaidi, Zanzibar Ilikua Dola Iliyokua Chini Wa Utawala Wa Malkia "Balkis" Wa Eithopia. Enzi Za Nabii Suleimani:
Kama Kuna Mtu Anakumbuka Kisa Cha Hudihudi Atakubaliana Na Mm Kua, Wakati Wa Mkutano Wa Nabii Suleiman, Ndege Hudihudi Alikua Sehem Ya Mashariki, Ambapo Jua Huchomoza Kuwahi, Huko Watu Wanaabudia Jua Wakiongozwa Na Malkia, Yani Malkia Balkis.
Ndugu Zangu Wana Jamii, Zanzibar, Pemba, Kuna Sehemu Inaitwa "Muswalli:, Hapo Ndio Sehemu Ambapo Nabii Suleimani Na Watu Wake Walifikia, Na Kufanya Ibada(kuswali) Ya Mwanzo Visiwani Humo!. Kwa Mwenye Kuchimba, Anayajua Haya" Thanx.
Jambo Lenyewe Ni Kua Kihistoria Znz Ilikua Nchi Ilopiga Hatua Africa Masharik, Wakat Huo Hata Kabla Ya Ujio Wa Sultan Visiwan Humo! Kuna Ushahid Kua, Technologia Ya Kutumia Taa Za Barabarani Zilitumika Zanzibar Karne Ya 18 Hata Kabla Ya Marekani! Kikubwa Zaidi, Zanzibar Ilikua Dola Iliyokua Chini Wa Utawala Wa Malkia "Balkis" Wa Eithopia. Enzi Za Nabii Suleimani:
Kama Kuna Mtu Anakumbuka Kisa Cha Hudihudi Atakubaliana Na Mm Kua, Wakati Wa Mkutano Wa Nabii Suleiman, Ndege Hudihudi Alikua Sehem Ya Mashariki, Ambapo Jua Huchomoza Kuwahi, Huko Watu Wanaabudia Jua Wakiongozwa Na Malkia, Yani Malkia Balkis.
Ndugu Zangu Wana Jamii, Zanzibar, Pemba, Kuna Sehemu Inaitwa "Muswalli:, Hapo Ndio Sehemu Ambapo Nabii Suleimani Na Watu Wake Walifikia, Na Kufanya Ibada(kuswali) Ya Mwanzo Visiwani Humo!. Kwa Mwenye Kuchimba, Anayajua Haya" Thanx.