CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
habarini wanaMMU.
leo asubh nikiwa kwenye dalax2 nilisikia mjadala ukiendelea, cjui ilikuwa ni cd ama radio station. mjadala ulikuwa unasema kwamba mwanaume ni dhaifu tangu mimba inapotungwa kwa COS
wakat mwanaume anafika kwny peak hutoa mbegu aina 2 yan X & Y yan X ni female na Y ni male.mbegu Y obvious ni dhaifu na huweza kufa haraka kuliko X. ndo maana wanawake ni weng kuliko wanaume. pili,ukiwaweka m-mme na m-mke bila chakula kwa cku kadhaa m-mme atakufa haraka kabla ya m-mke.JE KUNA UKWELI KTK HIL
leo asubh nikiwa kwenye dalax2 nilisikia mjadala ukiendelea, cjui ilikuwa ni cd ama radio station. mjadala ulikuwa unasema kwamba mwanaume ni dhaifu tangu mimba inapotungwa kwa COS
wakat mwanaume anafika kwny peak hutoa mbegu aina 2 yan X & Y yan X ni female na Y ni male.mbegu Y obvious ni dhaifu na huweza kufa haraka kuliko X. ndo maana wanawake ni weng kuliko wanaume. pili,ukiwaweka m-mme na m-mke bila chakula kwa cku kadhaa m-mme atakufa haraka kabla ya m-mke.JE KUNA UKWELI KTK HIL