njia iliyopo ambayo nisalama ni kupunguza unene yani kupunguza mafuta mwilini. hayo hufanya uume kuonekana mfupi coz yanameza sehemu ya chini (shina) la uume. njia nyngne zinaweza kukupa matokeo lakjni yenye madhara makubwa baadae ikiwemo kupoteza nguvu za kiume na maumivu wakati wa tendo. size aint the matter ujuzi wako tuu utamfurahisha.
Masikini Dah! Falsafa Ya Mwanzilishi Wa Jukwaa HiliNi Ushauri Wa Kitaalamu, Kisaikolojia Na Tiba. Tafakari Kabla Ya Kujibu. Kuna Watu Wanajinyonga Kwa Tatizo Hilo, Watu Hawa Wajengwe Kisaikolojia Kuhusu Fore Play Before Penetration, Pamoja Na G-sport Location, Then They Won't Worry About Penis Size. Na Kama Kuna Tiba Waelekezwe Kwa Wataalamu Nao Wafurahie Mnato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.