Kama CCM ni Chama makini.... jibu lake litakuwa TanzaniaNaomba jibu?
Nchi jirani
Naomba jibu?
Helkopta ya chadema imekodishwa toka kenya na rubani wake ni msomali! La kusikitisha huyu msomali huwa anatafuna marungi(aina fulani ya madawa za kulevya) hapa kwetu tz ni marufuku kutafuna lakini huyu rubani wa viongozi wa chadema huwa anatafuna akiwa angani na akiwa ardhini huwa anatafuna kwa kuibia ibia mimi mwenyewe nilimuona mwaka jana huko moshi wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa ndio kabisa anatafuna mtindo mmoja!
Hii ya ccm imekodishwa toka shirika moja la hapa hapa nyumbani na rubani wake ni mwananchi.
Helkopta ya chadema imekodishwa toka kenya na rubani wake ni msomali! La kusikitisha huyu msomali huwa anatafuna marungi(aina fulani ya madawa za kulevya) hapa kwetu tz ni marufuku kutafuna lakini huyu rubani wa viongozi wa chadema huwa anatafuna akiwa angani na akiwa ardhini huwa anatafuna kwa kuibia ibia mimi mwenyewe nilimuona mwaka jana huko moshi wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa ndio kabisa anatafuna mtindo mmoja!
Hii ya ccm imekodishwa toka shirika moja la hapa hapa nyumbani na rubani wake ni mwananchi.