Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
LIVINGSTONE LUSINDE...mzee wa Matutsi
hapo hata CMM wangemsimamisha prezdaa.Chama cha mapinduzi kimsimamishe ndg Abrahaman kinana katika uchaguzi ujao wa Arusha mjini. anakubalika sana Arusha maana ndio mbunge pekee aliyeifanyia Arusha maendeleo kipindi cha nyuma . pia upeo wake wa elimu na kusimamia mambo ni mkubwa sana .
ANAFAA,
ANAUWEZO,
ANAKUBALIKA.
Chama cha mapinduzi kimsimamishe ndg Abrahaman kinana katika uchaguzi ujao wa Arusha mjini. anakubalika sana Arusha maana ndio mbunge pekee aliyeifanyia Arusha maendeleo kipindi cha nyuma . pia upeo wake wa elimu na kusimamia mambo ni mkubwa sana .
ANAFAA,
ANAUWEZO,
ANAKUBALIKA.
hayo unayasema wewe mkuu . Tunataka mbunge atakayetuletea maendeleo .
Haipendezi mwanaume kuwa mmbea, watu wa arusha ipi unaowasemea wewe kilaza bucho?.
Msimamisheni Kinana, chadema wasimamishe mti, tutachagua mti. Hapa mmeliwa, nendeni huko huko kwa waswahili wanywa kahawa, sio arusha mjini.