PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Abdulrahman Kinana: Who is he?
Majuzi nimesikia kwamba Kinana alitinga kiwanjani kumpokea mwarabu mmoja mwekezaji wa Hotel za Kilinjaro zina jina jipya. Alikuwa kaongozana na wala rushwa waziri gani sijui yule.
Nimejiuliza Kinana ni nani kweney Serikali hadi aende upokea mwekezaji? Alienda kwa jina la CCM ama Serikali ? Kinana na issue yake ya Uraia iliishia wapi?
Nipeni mwelekeo kama kuna mwenye kulijua lolote hapa.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/12529-abdulrahman-kinana-who-is-he-9.html
Nimejiuliza Kinana ni nani kweney Serikali hadi aende upokea mwekezaji? Alienda kwa jina la CCM ama Serikali ? Kinana na issue yake ya Uraia iliishia wapi?
Nipeni mwelekeo kama kuna mwenye kulijua lolote hapa.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/12529-abdulrahman-kinana-who-is-he-9.html