Msongoru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 306
- 24
Mambo vipi wana mahusiano?
Kuna swali moja gumu kweli nimekutana nalo. Jama ana mpenzi ambaye amebakwa na baba yake kwa miaka miatano mfululizo! Demu alikuwa hajarevil kwa jamaa kwa muda mrefu ila alikuwa ana kama jinamizi hivi kila akikumbuka, jamaa kambembeleza amwambie shida yake demu akamwambia: "Nikikuambia bado utanipenda?" Jamaa akajibu kama kawa kwamba mimi na wewe hakuna wa kututenganisha! DEMU AKAMAWBIA NIAPIE! Jamaa kaapa kwa lugha na kwa miungu yote anyoijua. Ndipo demu kamfunulia! " Tangu nikiwa na umri wa miaka 14 baba alikuwa akinibaka, alinitisha kwamba siku nikimwambia mama tu ataniuwa. Ni mpaka nilipofikisha umri wa miaka 19 yaani mwaka jana na nadhani amehamia kwa mdogo wangu ingawa sina uhakika"
Any way, it is a long story, jamaa kaja kuniomba ushauri....Vipi amwache wakati keshaapa?
Kuna swali moja gumu kweli nimekutana nalo. Jama ana mpenzi ambaye amebakwa na baba yake kwa miaka miatano mfululizo! Demu alikuwa hajarevil kwa jamaa kwa muda mrefu ila alikuwa ana kama jinamizi hivi kila akikumbuka, jamaa kambembeleza amwambie shida yake demu akamwambia: "Nikikuambia bado utanipenda?" Jamaa akajibu kama kawa kwamba mimi na wewe hakuna wa kututenganisha! DEMU AKAMAWBIA NIAPIE! Jamaa kaapa kwa lugha na kwa miungu yote anyoijua. Ndipo demu kamfunulia! " Tangu nikiwa na umri wa miaka 14 baba alikuwa akinibaka, alinitisha kwamba siku nikimwambia mama tu ataniuwa. Ni mpaka nilipofikisha umri wa miaka 19 yaani mwaka jana na nadhani amehamia kwa mdogo wangu ingawa sina uhakika"
Any way, it is a long story, jamaa kaja kuniomba ushauri....Vipi amwache wakati keshaapa?