Hivi karibuni Mh. Pinda ulitembelea nchi za Asia ikiwemo India. Kwa muda mrefu umekuwa ukilalama kwamba watendaji wenzako ktk serikali wanapenda magari ya gharama kubwa kama vile Landcruiser VX na kadhalika.
Sasa ulipotembelea India uliona mwenyewe kwamba hata waziri mkuu wa India ambaye kwa India ndiye mwenye madaraka ya kuongoza serikali anatembelea gari ndogo ya gharama nafuu sana. Pia viongozi wote wanatumia magari madogo ya kawaida kabisa.
Si kweli kwamba wahindi hawapendi magari ya anasa, nadhani jibu unalo kwani unaona wahindi wanaoishi Tanzania walivyo na magari ya kifahari sana. Ukweli ni kwamba serikali ya India inadhibiti matumizi yake ipasavyo.
Sasa swali langu kwako ni kwamba je, umeshindwa kushughulikia watendaji wa chini yako na wewe mwenyewe ili serikali yako iweze kupunguza matumizi ya magari ya gharama kubwa na anasa??
Naomba jibu.
Sasa ulipotembelea India uliona mwenyewe kwamba hata waziri mkuu wa India ambaye kwa India ndiye mwenye madaraka ya kuongoza serikali anatembelea gari ndogo ya gharama nafuu sana. Pia viongozi wote wanatumia magari madogo ya kawaida kabisa.
Si kweli kwamba wahindi hawapendi magari ya anasa, nadhani jibu unalo kwani unaona wahindi wanaoishi Tanzania walivyo na magari ya kifahari sana. Ukweli ni kwamba serikali ya India inadhibiti matumizi yake ipasavyo.
Sasa swali langu kwako ni kwamba je, umeshindwa kushughulikia watendaji wa chini yako na wewe mwenyewe ili serikali yako iweze kupunguza matumizi ya magari ya gharama kubwa na anasa??
Naomba jibu.