Swali fikirishi kwa wakaguzi wa vyeti

Jim007 2

JF-Expert Member
Dec 28, 2012
395
247
Wakuu salaam,
Nna swali kidogo linalonitatiza....

Mfano mimi Juma Abdala nimesoma shule ya Mtakuja mpaka darasa la saba lakini bahati mbaya sikufanikiwa kufaulu, wazazi wangu wakaenda shule ya msingi Maweni na kutafuta jina la mwanafunzi wa darasa la sita aliyeacha shule nikachukua jina lake nikaenda nalo mpaka darasa la saba nikafaulu vizuri kwa jina la pili ambalo ni Kassim Ally nikaenda sekondari nikafaulu vizuri nikaendelea na elimu za juu mpaka sasa nina masters ya uchumi nipo BOT na maisha yanaendelea.

Swali, Kisheria hivi vyeti vyangu ni halali kwa mimi kuvimiliki??
 
Wakuu salaam,
Nna swali kidogo linalonitatiza....

Mfano mimi Juma Abdala nimesoma shule ya Mtakuja mpaka darasa la saba lakini bahati mbaya sikufanikiwa kufaulu, wazazi wangu wakaenda shule ya msingi Maweni na kutafuta jina la mwanafunzi wa darasa la sita aliyeacha shule nikachukua jina lake nikaenda nalo mpaka darasa la saba nikafaulu vizuri kwa jina la pili ambalo ni Kassim Ally nikaenda sekondari nikafaulu vizuri nikaendelea na elimu za juu mpaka sasa nina masters ya uchumi nipo BOT na maisha yanaendelea.

Swali, Kisheria hivi vyeti vyangu ni halali kwa mimi kuvimiliki??
Acha ndimi mbili wewe!
 
Wakuu salaam,
Nna swali kidogo linalonitatiza....

Mfano mimi Juma Abdala nimesoma shule ya Mtakuja mpaka darasa la saba lakini bahati mbaya sikufanikiwa kufaulu, wazazi wangu wakaenda shule ya msingi Maweni na kutafuta jina la mwanafunzi wa darasa la sita aliyeacha shule nikachukua jina lake nikaenda nalo mpaka darasa la saba nikafaulu vizuri kwa jina la pili ambalo ni Kassim Ally nikaenda sekondari nikafaulu vizuri nikaendelea na elimu za juu mpaka sasa nina masters ya uchumi nipo BOT na maisha yanaendelea.

Swali, Kisheria hivi vyeti vyangu ni halali kwa mimi kuvimiliki??
Mtazamo wangu hafifu: kama huyo bwana alieacha shule hakuja kujiendeleza tena au jina lake halikuingia katika mfumo wowote, kwamaana hamtakija kugongana huko, Pili Je ukiitishwa cheti cha kuzaliwa kitasoma jina gani? kama mlifanyia kazi pia kwenye vyeti vya kuzaliwa vikasoma jina hilo hilo la vyeti vya masomo, mzee hapo hakuna shida, nana atasema kuwa hilo jina sio lako kwani kuna mwenye hati miliki ya jina?
 
Mie ningependa kujua kwa mfano yule daktari bingwa wa moyo pale Muhimbili aliyesimamia kupandikiza pace maker kwa yule mtoto kwa mafanikio tukigundua kuwa jina analotumia sio lake tutamfukuza?<br />Kwamba alipomaliza darasa la saba hakuchaguliwa pale kijijini kwao na Huyo mmoja aliyechaguliwa akakataa kwenda Daktari akachukua nafasi kwenda sekondari.<br />Akasoma mpaka vyuo vya ndani na nje taaluma hiyo ya maradhi ya moyo hadi kuwa bingwa ambaye nchi yeyote wanamuhitaji.<br />Jee kwa sababu hiyo ya kuchukua jina la mtu kwenda sekondari tutamfukuza kazi? Kama tutamfukuza wale wengine wanaohitaji wenye taaluma kama hiyo watatuonaje sisi?<br />OK, tunaamua kumuacha kwa vile ni wa muhimu sana, jee wale watumishi wa taaluma zingine kama waalimu, wachumi nk wataelewaje serikali yao kwa hiyo double standard?<br />Zoezi hili limekosewa na linaendeshwa kwa jazba za kisiasa tuu, walipaswa kujikita kwenye vyeti vya taaluma tuu
 
Wakuu hii ni scenario tu ambayo nimeitengeneza mwenyewe kutaka kufahamu undani wa mambo....kama kuna mtu wa kumchomea hapa si mahali sahihi ninazifahamu mamlaka husika ningefanya hivyo.
 
Mtazamo wangu hafifu: kama huyo bwana alieacha shule hakuja kujiendeleza tena au jina lake halikuingia katika mfumo wowote, kwamaana hamtakija kugongana huko, Pili Je ukiitishwa cheti cha kuzaliwa kitasoma jina gani? kama mlifanyia kazi pia kwenye vyeti vya kuzaliwa vikasoma jina hilo hilo la vyeti vya masomo, mzee hapo hakuna shida, nana atasema kuwa hilo jina sio lako kwani kuna mwenye hati miliki ya jina?

Mkuu tuna assume jamaa mwenye jina hakuja tena kujiendeleza.
 
Ila ni kosa kubwa sana kisheria kutumia jina la mtu mwingine,wanasheria wanaweza saidia fafanua vzuri,nisijue hao wahakiki wanaangalia nini kwenye vyeti.
 
Ila ni kosa kubwa sana kisheria kutumia jina la mtu mwingine,wanasheria wanaweza saidia fafanua vzuri,nisijue hao wahakiki wanaangalia nini kwenye vyeti.

Mkuu sidhani kama kuna mtu ana haki miliki ya jina.
 
Mie ningependa kujua kwa mfano yule daktari bingwa wa moyo pale Muhimbili aliyesimamia kupandikiza pace maker kwa yule mtoto kwa mafanikio tukigundua kuwa jina analotumia sio lake tutamfukuza?<br />Kwamba alipomaliza darasa la saba hakuchaguliwa pale kijijini kwao na Huyo mmoja aliyechaguliwa akakataa kwenda Daktari akachukua nafasi kwenda sekondari.<br />Akasoma mpaka vyuo vya ndani na nje taaluma hiyo ya maradhi ya moyo hadi kuwa bingwa ambaye nchi yeyote wanamuhitaji.<br />Jee kwa sababu hiyo ya kuchukua jina la mtu kwenda sekondari tutamfukuza kazi? Kama tutamfukuza wale wengine wanaohitaji wenye taaluma kama hiyo watatuonaje sisi?<br />OK, tunaamua kumuacha kwa vile ni wa muhimu sana, jee wale watumishi wa taaluma zingine kama waalimu, wachumi nk wataelewaje serikali yao kwa hiyo double standard?<br />Zoezi hili limekosewa na linaendeshwa kwa jazba za kisiasa tuu, walipaswa kujikita kwenye vyeti vya taaluma tuu
UAMINIFU KAZI
 
Mie ningependa kujua kwa mfano yule daktari bingwa wa moyo pale Muhimbili aliyesimamia kupandikiza pace maker kwa yule mtoto kwa mafanikio tukigundua kuwa jina analotumia sio lake tutamfukuza?<br />Kwamba alipomaliza darasa la saba hakuchaguliwa pale kijijini kwao na Huyo mmoja aliyechaguliwa akakataa kwenda Daktari akachukua nafasi kwenda sekondari.<br />Akasoma mpaka vyuo vya ndani na nje taaluma hiyo ya maradhi ya moyo hadi kuwa bingwa ambaye nchi yeyote wanamuhitaji.<br />Jee kwa sababu hiyo ya kuchukua jina la mtu kwenda sekondari tutamfukuza kazi? Kama tutamfukuza wale wengine wanaohitaji wenye taaluma kama hiyo watatuonaje sisi?<br />OK, tunaamua kumuacha kwa vile ni wa muhimu sana, jee wale watumishi wa taaluma zingine kama waalimu, wachumi nk wataelewaje serikali yao kwa hiyo double standard?<br />Zoezi hili limekosewa na linaendeshwa kwa jazba za kisiasa tuu, walipaswa kujikita kwenye vyeti vya taaluma tuu
Mie ningependa kujua kwa mfano yule daktari bingwa wa moyo pale Muhimbili aliyesimamia kupandikiza pace maker kwa yule mtoto kwa mafanikio tukigundua kuwa jina analotumia sio lake tutamfukuza?<br />Kwamba alipomaliza darasa la saba hakuchaguliwa pale kijijini kwao na Huyo mmoja aliyechaguliwa akakataa kwenda Daktari akachukua nafasi kwenda sekondari.<br />Akasoma mpaka vyuo vya ndani na nje taaluma hiyo ya maradhi ya moyo hadi kuwa bingwa ambaye nchi yeyote wanamuhitaji.<br />Jee kwa sababu hiyo ya kuchukua jina la mtu kwenda sekondari tutamfukuza kazi? Kama tutamfukuza wale wengine wanaohitaji wenye taaluma kama hiyo watatuonaje sisi?<br />OK, tunaamua kumuacha kwa vile ni wa muhimu sana, jee wale watumishi wa taaluma zingine kama waalimu, wachumi nk wataelewaje serikali yao kwa hiyo double standard?<br />Zoezi hili limekosewa na linaendeshwa kwa jazba za kisiasa tuu, walipaswa kujikita kwenye vyeti vya taaluma tuu

Jibu language lipo kimasihara ila ndilo jibu.
Wahakiki walipaswa kuhakiki kama kweli muhusika alisoma na kufaulu juu ya taaluma yake. Vingine vyote havisaidi chochote kwenye maendeleo ya taifa hili.
 
Swali, Kisheria hivi vyeti vyangu ni halali kwa mimi kuvimiliki??

Who would you be if Kassim Ally was in school? What would you do if there were no Kassim allys in any of the schools countrywide?
 
Back
Top Bottom