domo bwakubwaku
Member
- Mar 2, 2011
- 86
- 29
hata makamba hajui aliwahi kuulizwa akjiumuma tu
Naomba ufafanuzi juu ya hili jambo manake jina la chama mara nyingi kama si zote huwa ni kama kifupisho cha lengo na madhumuni yake. Sasa hiki chama cha mapinduzi kwetu MAPINDUZI maana yake nini sitaki kuamini kuwa ni Mapinduzi ya Zanzibar ndio yanayozungumziwa hapo. Tell me Greatthinkers
Christian church movement! acha Nyerere apewe utakatifu tuu!
hata makamba hajui aliwahi kuulizwa akjiumuma tu
Jamani humu hakuna hata mjukuu wa Kingunge au Msekwa awaulize hawa tupate jibu?Kwa CC ya sasa ya CCM ni Msekwa peke yake anaweza kulijibu hili pengine na Kingunge kama bado analo angalau jino moja mdomoni!
Jamani humu hakuna hata mjukuu wa Kingunge au Msekwa awaulize hawa tupate jibu?
Jamani humu hakuna hata mjukuu wa Kingunge au Msekwa awaulize hawa tupate jibu?
"Tumeonewa kiasi cha kutosha,tumenyonywa kiasi cha kutosha,na tumepuuzwa kiasi cha kutosha.Unyonge wetu ndio uliotufanya tunyonwe,tuonewe na kupuuzwa.Sasa tunataka mapinduzi;Mapinduzi ya kuuondoa unyonge ili tusionewe tena na tusinyonywe tena."
Azimio la Arusha na siasa ya TANU ya Ujamaa na Kujitegemea-1967.