KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
unashangaa nini matokeo kupinduliwa?Mosi, Chama chenyewe ni cha MAPINDUZI, kwa hiyo kupindua matokeo si jambo la ajabu.Pili, Viongozi wake wote wa juu ni WanajeshiMwenyekiti: Luteni Kanali Jakaya KikweteKatibu Mkuu: Luteni Yusuf MakambaNaibu Katibu Mkuu: Kapteni George MkuchikaKatibu wa Itikadi/Uenezi: Kapteni john ChiligatiMeneja Kampeni: Kanali Abdulrahaman KinanaTatu, Gazeti la Serikali, Daily News ambalo editor in Chief ni Rais, limeshasema: Dk. Slaa hatakuwa rais wa tano wa TanzaniaNne: Tamko la Luteni Jenerali Shimbo linajieleza: "Wagombea wakubali matokeo, la sivyo..."Tano: Katiba ya nchi/ sheria ya uchaguzi iko wazi: Matokeo ya urais yakishatangazwa, hakuna chombo chochote kinachoweza kuyapinga.
*
Sasa mnashangaa nini eti mnajidanganya bila kujua kuwa nchi hii ni ya utawala wa kijeshi.
*
Haya nendeni mkapige kura kutimiza haki yenu ya kikatiba, narudia tena kutimiza haki yenu ya kikatiba.Nawasilisha
*
Sasa mnashangaa nini eti mnajidanganya bila kujua kuwa nchi hii ni ya utawala wa kijeshi.
*
Haya nendeni mkapige kura kutimiza haki yenu ya kikatiba, narudia tena kutimiza haki yenu ya kikatiba.Nawasilisha