njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,368
- 5,512
Ni ustaraabu wa wakristu pamoja na madhehebu mengine ila naomba ndugu zangu waislam mpitie vizuri quran na muombe roho wa MUNGU awape uelewa ili mjue kwani ndani yake kuna watu walioanishwa wanaweza kuchinja na je hao watu mi wapi?ikiwa quran inaitambua biblia kwa nini nyie msitambue ukristo?au mpagani ndie anatumia biblia?
Watu wa kitabu wanaozungumziwa mule (ndani ya quran ) Si wakristo wa sasa mnaoamini agano jipya ... Watu wa kitabu wanaozungumziwa mule walikuwa hawali nyama ya ngurue na watu wa kitabu wanaozungumziwa mule walikuwa na ujirani mwema na waislam ... Kizazi cha watu wa kitabu kilipotea kitambo ... Issue hapa kama ulivyosema muislam kuchinja Si sheria ya Bali imekaa ki ujirani mwema zaidi na kobiashara ili nyama ipate kununuliwa na watu wote ...