vicent tibaijuka
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 268
- 57
habari wana JF Doctor!! kwa muda mrefu nimekuwa nikisoma maada mbalimbali nakutoa ushauri mwingi tu kuhusu watu wanaouliza au kutoa maada juu ya magonjwa mbalimbali hapa. nimegundua kua maada nyingi na za mzingi wengi wetu hawazijibu au huwa wanakejeli tu. lakini kinachonishangaza ni kuhusu maada za ngono. kwa nini mtu akiandika kuhusu ngono asilimia kubwa ya watu wanaijibu tena kwa kwa fuuraha kubwa? je, wana JF doctor ni wa ngono? au watanzania wengi waijua ngona kuliko afya zao. Je, hiki ni kieelelezo kuwa ukimwi TZ utaendelea kuongezeka kwani sisi wenyewe ni washabiki wangono kuliko maada nyingine? asanteni. nasubiri mchango wenu kwa hili!!:glasses-nerdy: