Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Taasisi ya MFDI-Tanzania iliyo chini ya mtengeneza filamu maarufu
raia wa Marekani, John Riber, wamegundua tatizo lililopo kwenye tasnia ya filamu
na wanataka kuonesha mfano, kwanza kwa kutoa mafunzo kwa waandishi
wa script waliofuzu vigezo vyao na watayarishaji, tayari wameshachagua watu
sita waliofuzu majaribio yao na watakuwa na workshop ya kuwaweka sawa kabla
ya kuwawezesha ili kutengeneza filamu ambazo wanaamini zitakuwa bora na mfano.
MFDI-Tanzania ndiyo waliotoa filamu ya Chumo...
BOFYA HAPA
raia wa Marekani, John Riber, wamegundua tatizo lililopo kwenye tasnia ya filamu
na wanataka kuonesha mfano, kwanza kwa kutoa mafunzo kwa waandishi
wa script waliofuzu vigezo vyao na watayarishaji, tayari wameshachagua watu
sita waliofuzu majaribio yao na watakuwa na workshop ya kuwaweka sawa kabla
ya kuwawezesha ili kutengeneza filamu ambazo wanaamini zitakuwa bora na mfano.
MFDI-Tanzania ndiyo waliotoa filamu ya Chumo...
BOFYA HAPA