BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Wana JF naombeni msaada wenu ili sheria ifuate mkondo wake:
Hapa job kwangu nina rafiki yangu amenielezea tatizo lililo mpata kaka yake ni hivi: Kaka anabinti yake ambaye anasoma form IV lakini kwa bahati mbaya amepewa ujauzito na swahiba wake wakufa na kuzikana na pia partner wake katika mambo ya kibiashara huyo swahiba ni mtu mzima hasa maani kijana wake wa mwisho sasa anaumri wa miaka 24 na binti wa rafikie aliempa mbimba anaumri wa miaka 17 sasa huyu kaka ambaye bintie amepewa ujauzito na swahiba wake amechanganyikiwa anashindwa afanyaje na binti ametishia kujiuwa iwapo baba yake atampeleka rafikie mahakamani, mama wa binti amesema polisi laima amfikishe huyo shemeji-mkwe maana amemuharibia maisha binti yake na mke wa mtuhumiwa yuko nje kimasomo.
Binti shule amesha fukuzwa tayari
Sasa huyu rafiki yangu hapa job ananiomba ushauri nimeshindwa cha kumshauri naomba nilete shauri hili hapa jamvini ili mnissaidie. Asanteni wana Jamvi
Hapa job kwangu nina rafiki yangu amenielezea tatizo lililo mpata kaka yake ni hivi: Kaka anabinti yake ambaye anasoma form IV lakini kwa bahati mbaya amepewa ujauzito na swahiba wake wakufa na kuzikana na pia partner wake katika mambo ya kibiashara huyo swahiba ni mtu mzima hasa maani kijana wake wa mwisho sasa anaumri wa miaka 24 na binti wa rafikie aliempa mbimba anaumri wa miaka 17 sasa huyu kaka ambaye bintie amepewa ujauzito na swahiba wake amechanganyikiwa anashindwa afanyaje na binti ametishia kujiuwa iwapo baba yake atampeleka rafikie mahakamani, mama wa binti amesema polisi laima amfikishe huyo shemeji-mkwe maana amemuharibia maisha binti yake na mke wa mtuhumiwa yuko nje kimasomo.
Binti shule amesha fukuzwa tayari
Sasa huyu rafiki yangu hapa job ananiomba ushauri nimeshindwa cha kumshauri naomba nilete shauri hili hapa jamvini ili mnissaidie. Asanteni wana Jamvi