Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hata huyo Dj mwingine kushoto naye mali zake ni za urithi. Wote wamekutana!Na kweli dj kusaga ana nata sana huku mali yenyewe ya urithi
Hata huyo Dj mwingine kushoto naye mali zake ni za urithi. Wote wamekutana!
Hahahaha...kweli aisee. Mtu akiwa na mafanikio kidogo tu lazima watu waseme ni freemason!!wabongo hamchelewi kuweka neno freemasoni
utasikia tu free masoni yule wanakuwekea na picha moja kanyanyua vidole juu ama wanazungushia kiduara kwenye chata ambalo lipo kwenye nguo yake basi wabongo hapo tumeshakamatwa ...ha ahaaHahahaha...kweli aisee. Mtu akiwa na mafanikio kidogo tu lazima watu waseme ni freemason!!
Bendera ya CDM naona ina vidole viwili, hata salamu yao ni kunyoosha vidole viwili.Na hizi zote ni alama za freemansons. Hivi hawa jamaa siyo freemansons kweli?utasikia tu free masoni yule wanakuwekea na picha moja kanyanyua vidole juu ama wanazungushia kiduara kwenye chata ambalo lipo kwenye nguo yake basi wabongo hapo tumeshakamatwa ...ha ahaa
Ukiwa na avatar za ajabu ajabu na unapenda picha za kutisha tisha ni freemasons.
Kama Avatar ya @Rejao
Kama Avatar ya @Rejao
Hahahaha...kweli aisee. Mtu akiwa na mafanikio kidogo tu lazima watu waseme ni freemason!!