Sven-Goran Eriksson Pwaaa!

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
353
Yule kocha wa zamani wa timu ya taifa ya England na mpenda vidosho Sven-Goran Eriksson amepigwa chini na Club yake ya Manchester City baada ya kukaa msimu mmoja tu katika club hiyo. Mark Hughes, kocha wa Blackburn ambaye yumo kwenye shortlist ya atakayekalia kiti kilichoachwa wazi na Avram Grant huko Chelsea ameruhusiwa na klabu yake kufanya mazungumzo na City kuhusu nafasi hiyo na kuna uwezekano mkubwa akaipata hiyo kazi. Kuna habari kwamba Sven anajiandaa kwenda south america kuwa kocha wa taifa wa Mexico and who can blame him? latino babes are the best in the world!!
 
erikssonthaksinAP_450x315.jpg
Erickson na Shinawatra

Hawa jamaa walianza kuangalia kila mtu kivyake siku nyingi.

Erickson ana principles kwamba hataki kuingiliwa katika kazi yake kuanzia kupanga nani acheze mpaka nani abadilishwe.

Tabia hii anayo huyu Shinawatra na Roman Abramovic.

Katika hali kama hiyo ni vigumu sana kwa timu kuwa developed. Man City imekuwa ni timu nzuri mwaka huu kwa kumaliza among top ten na imepata nafasi ya kucheza UEFA Cup kwa sababu ya mchezo mzuri ambao haikuwahi kuucheza.
 
YoYo, labda wee unamjua Sven baada ya kuchukua kazi ya England lakini CV yake haijadoda na sidhani kama inafit kwenye club yoyote inayofanana na Yanga:

1976: Degerfors (Assistant Coach)

1977-78: Degerfors (Coach)

1979-82: IFK Gothenburg
Swedish Cup Winners 1979
Swedish League Champions 1981
Swedish League Champions 1982
UEFA Cup Winners 1982

1982-84: SL Benfica
Portuguese League Champions 1983
Portuguese League Champions 1984
Portuguese Cup Winners 1983

1984-87: AS Roma
Italian Cup Winners 1986

1987-89: AC Fiorentina

1989-92: SL Benfica
Portuguese League Champions 1991

1992-97: Sampdoria UC
Italian Cup Winners 1994

1997-2000: SS Lazio
Italian Cup Winners 1998
Italian Super Cup Winners 1998
UEFA Cup Winners' Cup Winners 1999
UEFA Super Cup Winners 1999
Italian League Champions 2000

Na baada ya hapa ameiongoza City kumaliza League nafasi ya tisa tofauti na misimu kibao iliyopita ambapo wamekuwa wakijitahidi tu ili wasishuke daraja, their fans are not happy with the owner at all.
 
de owner ndo mwenye matatizo...ila huyu mpenda vidosho has improved man city kinyamaaa!!!hadi kufikia stage ya kuwafunga man utd?de real champions...loh walijiiitaidi mnoo
 
Jamaa alijitahidi sana nafikiri ni karibu miaka 40 Man City walikuwa hawajawahi kuwafunga DOUBLE wapinzani wao MAN U
Alisajili wachezaji wazuri kama ELANO,CARLUKA,PETROV
At the end mwenye timu tena FISADI kamuona hafai
Hili ndio tatizo la TIMU OWNER kuingilia mambo ya ufundi kama ABROMOVIC
 
Kama kusema hivyo hata sisi Mtibwa pia hatumuafiki......Atatuharibia ndoa zetu huku Mji kasoro bahari. Kwikwikwi...tehe tehe tehe.
 
Ngoja aende akale Hot Tamales..na kumingle na vidosho vya kimexicano!!!!

MEXICO CITY, June 3 (Reuters) - Former England coach Sven-Goran Eriksson was named as the new coach of Mexico on Tuesday.

Eriksson, sacked by English Premier League Manchester City on Monday, was approved at a meeting of the Mexican Football Federation's executive committee, comprising the owners of the 18 first division clubs.

'It's unanimous. Eriksson has been accepted by all the owners,' Jorge Vergara, president of the Guadalajara club, told reporters.

The 60-year-old Swede, who replaces Hugo Sanchez, will be in charge until the 2010 World Cup.

Sanchez was fired in March after the Under-23 side, whom he also coached, failed to qualify for the Beijing Olympics. Since then, former Under-17 coach Jesus Ramirez has been in charge on a temporary basis.
 
Jamaa alijitahidi sana nafikiri ni karibu miaka 40 Man City walikuwa hawajawahi kuwafunga DOUBLE wapinzani wao MAN UAlisajili wachezaji wazuri kama ELANO,CARLUKA,PETROV
At the end mwenye timu tena FISADI kamuona hafai
Hili ndio tatizo la TIMU OWNER kuingilia mambo ya ufundi kama ABROMOVIC

Belo ivi potential ya Kocha utaipima kwa kuwafunga mafunga mahasimu wao tu?

Not really bro, still Erick have proved to be incompetence at the club level, unajua ukiwa national coach huna kazi kubwa kivile sana kama kocha wa club...let him go!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom