Huyo ni makamu wa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Gharib Bilalna huyo babu kushoto kwa mkulu ndo nani? mbona kama anataka kujifia vile!!!1
Suti ipi? Mjadala ulihusu nini hasa(rangi ya suti au?) Ulifanyika wapi? Lini? Nani wadau wa mjadala?
Suti ya Mwakyembe ndo iliwekwa sumu
duhhhhhhh
hapo nimeona Jacket la suti..
Hii bora hata angekataa rangi haiendani nae kabisa...
na huyo babu kushoto kwa mkulu ndo nani? mbona kama anataka kujifia vile!!!1