Surrogate Mother

Huwa wanatrace ila hata wakimpata si kila mtu anakuwa na haki na mtoto? na pia inategemea yule baba alipotoa mbegu alisainishwa vipi kama alisema hatafuatilia ataishia kumwona mtoto kwa mbali tu. yaani mimbegu ilivyojaa hapa bongo mpaka kaenda south? kuna story pia nilisikia mdada wa watu hataki kuolewa wala kuzaa mtoto awe na baba anakuja kumwoa. alichofanya alienda kijijini huko kutembea kwa ndugu zake akatembea na mwanakijiji huko yaani mchovumchovu, akarudi huku kimyaaa mpaka leo ana mtoto wake. sijui wanakuwa na akili gani. ila kuna wengine wana shida kiukweli kama mume hana uzazi kabisa


daaahh sasa hiyo ya kwenda kijijini
mmmmmmhh huo ni wizi wa mali ya asili...
vipi mwana akikuwa na aulize mama baba yangu ni nani??
 
Types of Surrogacy
There are two types of Surrogacy:

STRAIGHT - (This is also known as Traditional or Partial Surrogacy): This method uses the egg of the Surrogate Mother and the sperm of the Intended Father. This can be performed in an IVF clinic, but more often the technique of Artificial Insemination happens at home. In this situation the baby is biologically related to the Intended Father and the Surrogate Mother. Although it is the simpler of the two types of surrogacy in as much as conceiving is less complicated, mentally it can be the hardest to accept. Not only for the Surrogate Mother to give up her own biological child, but also for the Intended Mother to accept a child which her husband has fathered with another woman.

HOST - (Also known as Gestational or Full Surrogacy): This method uses the egg of the Intended Mother combined with the sperm of her husband or donor sperm. In this case an IVF clinic is always required. The Intended Father's sperm sometimes has to be frozen for 6 months. This depends on which clinic you choose to work with. A baby conceived by this method has no biological connection to the Surrogate Mother. This is by far the more difficult way to get pregnant. The chances of it working are low and it consumes a lot more time and energy to complete. However, many people feel more comfortable knowing the Surrogate Mother has no biological ties to the Surrogate baby she is to carry.

daahhh thank you so much for the info
but where I highlight blue mmmhhh
mmmhh disagree with you ..
we still have to remember the Surrogate mother and the baby
are connected to one another through umbilical cord....
they do share things like blood, fluid , oxygen etc .... the baby relies 100% on the mother ..

for that reason i think the surrogate mother and the baby
are biological related
 
Afrodenzi,

Si kitu cha kushangaza tena hata kwenye jamii zetu za Kiafrika. Ni sawa sawa na IVF ilivyo kitu cha kawaida tu kwa sasa.

Wale wanaotumia mama au dada zao kubeba mimba inakuwa wao wenyewe wanamayai yao very healthy ila tu wana condition inayozua wao kubeba mimba. On this situation, huyu dada anauwezo wa kurutubisha mayai yake na kupandika embryo kwa mtu mwingine.

Ila for artificial insermination, sijawahi sikia na sidhani ni ethical kwa ndugu wa karibu kupandikizwa mbegu za kaka au shemeji yake. Mara nyingi hutafutwa mtu ambaye hayuko related kabisa na couple to be artificially inserminated kama mke hana mayai yenye afya. Or vile vile kama mme ndio mwenye tatizo, basi mke anaweza kuwa artificially inserminated by a sperm donor. But si ndugu wa karibu.

hapo kweny blue nashukuru
kwa hiyo info maana naona
watu walisha anza sema tamaduni za kzungu hizi
 
Huo ndo ukichaa wa walimwengu!!
Umeumbwa mwanaume ili uwe na mwanamke (and vice versa) mzae alafu mnaenda kua na jinsia moja huku bado mnatamani matunda yanayotokana na mahusiano kati ya mume na mke!!!

Nywz binafsi nadhani ni ngumu sana kwa mwanamke mwenye ROHO AMBAYO HAIJACHAKACHULIWA kubeba mimba miezi tisa alafu akakabidhi mtoto kwa mtu mwingine!!!Na kuhusu wanaume watajiskiaje naomba niwajibie wale ambao wanakataaga hata mimba zao....HAWATAJALI!!!

kwa hiyo lizzy unachosema wewe
ni kwamba mwanamke lazima atabakiwa na scar fulani
moyoni sababu kwa kiasi fulani huyo mwana ni wake....

na hapo kwenye blue ngoja nipache kwa sasa lol
 
Duh!!mtoto akidai wazazi wake itakuwaje hapo, sometimes inabidi tufikirie

mambo mengine yameanzishwa si kwa ajili yetu waafrika jamani

na ukiangalia hatuna sheria za mambo kama hayo

just imagine hapahapa tz utafute surrogate mmh hainipi kwa kweli cause utampa kiasi gani, je utamtunza kuhakikisha mimba inakua vyema, mazingira anayoishi je..mi nadhani mambo mengine tuwaachie wamagharibi waendelee nayo, wao wameyaanzisha na wao wayamalizie..sisi hatutoweza..unless ukapandikizwe hukohuko na si wewe kutafuta wa kukubebea hapa kwetu.

unakuta wazazi weusi mtoto mjapani au mchina kama kwenye 'desperate housewives'..je huyo mtoto si atajiona wa tofauti..au hata kama ni mweusi nae akikua lazima atasikia tu story ya jinsi alivyopatikana duniani hakuna siri kihivyo.
 
Huo ndo ukichaa wa walimwengu!!
Umeumbwa mwanaume ili uwe na mwanamke (and vice versa) mzae alafu mnaenda kua na jinsia moja huku bado mnatamani matunda yanayotokana na mahusiano kati ya mume na mke!!!

Nywz binafsi nadhani ni ngumu sana kwa mwanamke mwenye ROHO AMBAYO HAIJACHAKACHULIWA kubeba mimba miezi tisa alafu akakabidhi mtoto kwa mtu mwingine!!!Na kuhusu wanaume watajiskiaje naomba niwajibie wale ambao wanakataaga hata mimba zao....HAWATAJALI!!!

Thank you Lizzy.
 
niliwahi sikia lakini sikufuatilia sana<br />
sasa ngoja niingie goole mmhhhh
<br />
<br />
Nilishakwambia punguza haraka goole ndo nini? Hebu niPM sasa hv kuna urgent issue ya kuzungumza kuhusu mgonjwa wa home right?!
 
Sipati picha huko tuendako! Kumzalia mtu eti kwa sababu ya vijisenti vyake? Mungu forbid!!
 
Tatizo Dunia ya sasa hivi inaenda kwa makubaliano. Hisia na huruma tumeviweka pembeni.
Ndio maana ukiingia mkataba hata kama unakubana na wewe ulishakubali unakuwa na nguvu ya kisheria.
 
Back
Top Bottom