afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
jamani mimi leo nataka kuuliza kuhusu haya mambo ..
maana yanakua kwa wingi sana
ni kweli si kila mwanamke amejaliwa kupata mtoto wake mwenyewe
utakuta mtu na mumewe wanaishi pamoja lakini hawaku jaliwa mtoto
na wanataka sana mtoto au utakuta gay couple wanataka mtoto
wanacho fanya wanaomba mwanamke mwingine awazalie mtoto..
huwa wanapenda wanawake ambao tayari wanafamilia zao
(i mean familia yenye baba mama na watoto)
kuna wengine wanaruhusu wake zao walale na mwanaume mwingine
, na kuna wengine wana pandikiziwa mbegu..
maswali yangu yanakuja hapa ..
umebeba mimba miezi tisa, ukijifungua tu mtoto anachukuliwa kwa madai
kwamba mtoto si wako ....
Je mtoto ulie mbeba miezi tisa kweli si wako au ???
na we mwanaume utajisikia vipi kuona mkeo ana mimba ya mtu mwingine ??
maana yanakua kwa wingi sana
ni kweli si kila mwanamke amejaliwa kupata mtoto wake mwenyewe
utakuta mtu na mumewe wanaishi pamoja lakini hawaku jaliwa mtoto
na wanataka sana mtoto au utakuta gay couple wanataka mtoto
wanacho fanya wanaomba mwanamke mwingine awazalie mtoto..
huwa wanapenda wanawake ambao tayari wanafamilia zao
(i mean familia yenye baba mama na watoto)
kuna wengine wanaruhusu wake zao walale na mwanaume mwingine
, na kuna wengine wana pandikiziwa mbegu..
maswali yangu yanakuja hapa ..
umebeba mimba miezi tisa, ukijifungua tu mtoto anachukuliwa kwa madai
kwamba mtoto si wako ....
Je mtoto ulie mbeba miezi tisa kweli si wako au ???
na we mwanaume utajisikia vipi kuona mkeo ana mimba ya mtu mwingine ??