MUSONI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 903
- 682
Its not a bad idea at all....lakini kama hamtumii gari moja., ni vema utafute njia ya kuaandaa utaratibu wa kutumia gari moja, na kuandaa nguo za kubadilisha baada ya dinner na kwenda nazo kazini kesho yake....napendekeza dinner hiyo uifanyie hapo hapo hotelini...na jicheleweshe kumaliza dinner yenu huku ukijua kuwa mnalala hapo hapo.....!!
enjoy ur hubbys birthday.
enjoy ur hubbys birthday.