chapaa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2008
- 2,351
- 203
I'l faint aisee mana mi huwa nna vlavydavy vlvoptiliza
Uongo huo labda utazirai kwa kufumaniwa
I'l faint aisee mana mi huwa nna vlavydavy vlvoptiliza
mkuu Kanyigo hapo umeongea lipweint,ekchwale nilikuwa na mpango wa kumsaparaiz Lizzy nimeghairi tokana na ushauri huu.nitagomba..sitaki suprise za aina hiyo..kama ana nyingine apotezee,vipi akinikuta na nyumba ndogo? Inabidi kuheshimu ratiba.