****in, I hate you TANESCO! Huu mchezo wa kukata na kuwasha umeme mara 20 kwa siku maana yake nini? Mmeshatutia hasara kutuunguzia vifaa na fidia hamtoi! Bora mkate siku nzima tu kama hamna uhakika na network yenu! Aggh..! Mnaboa bhana!
Tanzania ni nchi ya kipekee ambapo watu wake kila mtu na maisha yake na hata wakilalamika ni kama huyu alieeta hii threat yani analalamika halafu anakunywa maji analala kitu kinabaki pale pale.
Mchawi wetu kafa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.