Sura sio roho wajameni! Kuna jirani yangu handsome kinoma lakini ni katili hakuna mfano, ana wivu sijapata kuona! Mke marufuku kutoka nje! Asubuhi anafagia uwanja anaenda zake viwanja akirudi akikuta alama ya viatu mke ajieleze! Inasikitisha sana!
inawezekana mume wake na wangu ni watoto wa baba mmoja
Sasa mbona 'you are ever smiling'?
Amekubaliana na mazingira halisi!
Haimpi shida coz keshaadopt!
Wanawake wengine usipowafanyia hivyo huwa hawana raha katika ndoa lakini anapofanyiwa hivyo ndio anaamini kuwa anapendwa....
Hw are u?Anishindi mimi mke natembea naye kwenye buti ya gari amna kumuona mtu
Wanawake wengine usipowafanyia hivyo huwa hawana raha katika ndoa lakini anapofanyiwa hivyo ndio anaamini kuwa anapendwa....
Abiria chunga mzigoo wako mmmh asante hunieMtu na chake , mjue ?
mapenzi ya hivyo yamepitwa na wakati, bidada anachungwa hadi kero!!
Kwa civilized pipo huo ni utumwa kabisaaa hawana haya eeh hebu aache bana roho yake chafuu