Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Nionavyo mimi sura na picha ya CHADEMA imejikita kwa mambo yafuatayo:
1. Foudership syndrome! "Sisi ni waanzilishi"
2. Ownership syndrome! "Bila ya mimi....., ......., na fulani hakuna CDM"
3. Zonal syndrome! "Watu kutoka Kanda X ni wajasirialimali na wanauchungu zaidi kuliko watanzania wengine".
Kuna waheshimiwa wengi tu ndani ya CDM wako frustrated kwa sababu ya hivi vigezo vilivyopitwa na wakati. Soon, yatajitokeza mengi ndani ya CDM.
Huu ni mtazamo wangu, lakini yaweza ikawa picha ya ndani na nje ya CHADEMA kwa baadhi ya watanzania wakomavu na wenye uelewa katika maswala ya siasa, uchumi na jamii. Until CHADEMA realizes this truth......................
1. Foudership syndrome! "Sisi ni waanzilishi"
2. Ownership syndrome! "Bila ya mimi....., ......., na fulani hakuna CDM"
3. Zonal syndrome! "Watu kutoka Kanda X ni wajasirialimali na wanauchungu zaidi kuliko watanzania wengine".
Kuna waheshimiwa wengi tu ndani ya CDM wako frustrated kwa sababu ya hivi vigezo vilivyopitwa na wakati. Soon, yatajitokeza mengi ndani ya CDM.
Huu ni mtazamo wangu, lakini yaweza ikawa picha ya ndani na nje ya CHADEMA kwa baadhi ya watanzania wakomavu na wenye uelewa katika maswala ya siasa, uchumi na jamii. Until CHADEMA realizes this truth......................