Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Nimekuwa nikifuatilia uchaguzi mdogo wa Busanda,ambapo mgombea wa CCM Bi.Lolensia Bukwimba alishinda,kwa mtazamo wangu nilimuona Mh.Bukwimba kama dada,mama yeyote sehemu za mashambani au vijijini,mfano Wigi lake alilosuka! lakini baada ya kushinda Weeeeeeeeeeeeeee... amebadilika sana utadhani sio yeye... Anapiga viwalo acha,Nwele utadhani sio yule aliyesujudu Busanda! !! Swali ni jee??? alikuwa anawadanganya wananchi wa Busanda au ilikuwaje....naambatanisha na picha ya kwanza na kesho ya sasa....