Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,732
Kama umeifungua hii thread utazaa mtoto mwenye sura kama huyu jamaa sijui ni Soldier?
Ole wake yeye akikosoaye kiumbe ambacho Mungu alikiumba kwa mikono yake!
Ole Ole ><100.
Imeandikwa.
ta muganyizi ta muganyizi unataka nini hivi huoni hii sura ni adimu naomba naomba unitake radhi
Ole wake yeye akikosoaye kiumbe ambacho Mungu alikiumba kwa mikono yake!
Ole Ole ><100.
Imeandikwa.
halafu hapo kafanya mautundu ya kuipendezesha kwa photoshop,sijui picha original ilikwajeJamani mbona mnamuonea? hivi kama yake inachekesha ya Nduu/Mamaya mtaionaje? lol hapa ni profile picture, na avatar.
mh! Me nshafunga kizazi.
wewe nawe sijui unakunywa tingisha au mbege. Wapi nimekosoa hivi mtu akisema utaa mtoto anyefanana na pindaa au Wassira anakuwa kamkosoa kiumbe? Kwa taarifa yako naitamani sura ya Avator ya Nitonye.........dont force me to eat that water
Nimeshaisoma, nahamia kwingine.