Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Lengo nimeshangazwa na kipindi cha CNN cha Wolf Blitzer...kiitwacho Situation Room.....na katika vinjari zao za jengo la Supreme koti ya Marekani kumbe kuna picha ya Mtume Mohammed...............
Nijuavyo mimi ni marufuku kuwa na picha hiyo......................sijui kama ni ya kweli au ni ya kuigiza.............wenye habari zaidi watujuze.....................
Vilevile ningependa kufahamu kwa nini hakuna maandamano ya kupinga picha hiyo kuwepo au ni kwa vile hakuna ajuaye juu ya hilo?
Nijuavyo mimi ni marufuku kuwa na picha hiyo......................sijui kama ni ya kweli au ni ya kuigiza.............wenye habari zaidi watujuze.....................
Vilevile ningependa kufahamu kwa nini hakuna maandamano ya kupinga picha hiyo kuwepo au ni kwa vile hakuna ajuaye juu ya hilo?
Last edited by a moderator: