Supreme Court ya Marekani ina picha ya Mtume Mohammed.......................

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,172
Lengo nimeshangazwa na kipindi cha CNN cha Wolf Blitzer...kiitwacho Situation Room.....na katika vinjari zao za jengo la Supreme koti ya Marekani kumbe kuna picha ya Mtume Mohammed...............

Nijuavyo mimi ni marufuku kuwa na picha hiyo......................sijui kama ni ya kweli au ni ya kuigiza.............wenye habari zaidi watujuze.....................

Vilevile ningependa kufahamu kwa nini hakuna maandamano ya kupinga picha hiyo kuwepo au ni kwa vile hakuna ajuaye juu ya hilo?

 
Last edited by a moderator:
Lengo nimeshangazwa na kipindi cha CNN cha Wolf Blitzer...kiitwacho Situation Room.....na katika vinjari zao za jengo la Supreme koti ya Marekani kumbe kuna picha ya Mtume Mohammed...............

Nijuavyo mimi ni marufuku kuwa na picha hiyo......................sijui kama ni ya kweli au ni ya kuigiza.............wenye habari zaidi watujuze.....................

Vilevile ningependa kufahamu kwa nini hakuna maandamano ya kupinga picha hiyo kuwepo au ni kwa vile hakuna ajuaye juu ya hilo?

- that place is inpenetrable
-hata hivyo mbona hiyo picha/sanamu ni ya mzungu tu, au inaonekana kuwa ni ya mohamad kwa kuwa ameshika panga/jambia?
-and who knows mohamad's face today?
 
- that place is inpenetrable
-hata hivyo mbona hiyo picha/sanamu ni ya mzungu tu, au inaonekana kuwa ni ya mohamad kwa kuwa ameshika panga/jambia?
-and who knows mohamad's face today?

Yaani you are very observant........................anaonekana kama mzungu au labda waarabu wa enzi hizo ndivyo walivyokuwa?

Kubwa zaidi ni kwa nini hakuna maandamano ya kupinga hilo kama yale ya picha za katuni kule Sweden..................au hawajui wakereketwa?
 
-and who knows mohamad's face today?

Bi question.............and who knew the face of Moses the Prophet?

Wanahistoria tusaidieni hapo....................tumeelemewa na maswali magumu hayo..............
 
Yaani you are very observant........................anaonekana kama mzungu au labda waarabu wa enzi hizo ndivyo walivyokuwa?

Kubwa zaidi ni kwa nini hakuna maandamano ya kupinga hilo kama yale ya picha za katuni kule Sweden..................au hawajui wakereketwa?

Walishapinga iondelowe lakini nadhani kuna vitu wa-US hawatawavumilia ikiwemo kutaka kutoa hiyo pic!
 
Bi question.............and who knew the face of Moses the Prophet?

Wanahistoria tusaidieni hapo....................tumeelemewa na maswali magumu hayo..............


ndiyo maana ninapomwomba Mungu huwa nafumba macho ili nisimlinganishe na vinyago au vitu vilivyo mbele yangu, as he is invinsible Almighty God.
 
Kwani mtume hakuwa mwanadamu? kama alizaliwa kwa kupitia mwanamke na mwanamme, picha yake itakuwepo si unajua mambo ya genetic watu wa ukoo mmoja kufanana. kwani huko Iraq sehemu moja inaitwa Najaf' jamaa zake na Mtume wapo kibao,mmojawapo ni mshirika katika serikali iliyoundwa na Kati ya Iyad Alawi, Nour Al Mark anaitwa Muqtadar Al Sadir Kiongozi wa Mahdi Army .
 
Kwani mtume hakuwa mwanadamu? kama alizaliwa kwa kupitia mwanamke na mwanamme, picha yake itakuwepo si unajua mambo ya genetic watu wa ukoo mmoja kufanana. kwani huko Iraq sehemu moja inaitwa Najaf' jamaa zake na Mtume wapo kibao,mmojawapo ni mshirika katika serikali iliyoundwa na Kati ya Iyad Alawi, Nour Al Mark anaitwa Muqtadar Al Sadir Kiongozi wa Mahdi Army .

Acha uongo wewe. Nikikwambia mimi nimewahi kumuona mungu utakataa?. Hakuna sehemu hata moja inayoweza kuthibitisha uhusiano wa mtu aliyekuwepo 1432 years ago na aliyepo leo hizi zote ni speculations zisizo na uthibitisho. Hiyo Sanamu hapo SC ni usanii wa mtu tu kama mtu anavyoweza kuchora picha akaiita madenge.
 
Kwani mtume hakuwa mwanadamu? kama alizaliwa kwa kupitia mwanamke na mwanamme, picha yake itakuwepo si unajua mambo ya genetic watu wa ukoo mmoja kufanana. kwani huko Iraq sehemu moja inaitwa Najaf' jamaa zake na Mtume wapo kibao,mmojawapo ni mshirika katika serikali iliyoundwa na Kati ya Iyad Alawi, Nour Al Mark anaitwa Muqtadar Al Sadir Kiongozi wa Mahdi Army .


Mohamad hakuwa na mtoto wa kiume. hiyo genetic inayomlink naye inatoka wapi, hata hivyo uhusiano wa kigenetic wa zaidi ya miaka 1400 kweli una-exist scientifically and how do you trace it?

read Below

Muhammad was known for a calm, deliberate, judicious temperament in all his decisions, and skill as a diplomat. Yet, underneath, he had a nervous and anxious longing for something much more than could normally be attained. His inner restlessness was in fact so severe, that he reputedly had nervous breakdowns. He was outwardly successful and respected, but inwardly restless, unhappy, and anxious.
One of the main sources of his unhappiness was that he had no male heir. This was a disgrace for all Semitic people, including Arabs. The Arab epithet for a man who had no male heir was "abtar." This means something like "castrated" or "emasculated."
 
Mohamad hakuwa na mtoto wa kiume. hiyo genetic inayomlink naye inatoka wapi, hata hivyo uhusiano wa kigenetic wa zaidi ya miaka 1400 kweli una-exist scientifically and how do you trace it?

read Below

Muhammad was known for a calm, deliberate, judicious temperament in all his decisions, and skill as a diplomat. Yet, underneath, he had a nervous and anxious longing for something much more than could normally be attained. His inner restlessness was in fact so severe, that he reputedly had nervous breakdowns. He was outwardly successful and respected, but inwardly restless, unhappy, and anxious.
One of the main sources of his unhappiness was that he had no male heir. This was a disgrace for all Semitic people, including Arabs. The Arab epithet for a man who had no male heir was "abtar." This means something like "castrated" or "emasculated."
Where did you get this crap?
 
Where did you get this crap?

I got this crap in one of the crap documents HERE


it is indeed a crap so is all religion are craps as they are made by people, as God is not religious but full of love to every creature s/he created.

Ask yourself, kuna kitu fulani kimoja wabudha wanacho wanakitumia katika ibada zao kina fundo kubwa kwa chini sijui wanakiitaje, lakini waislamu wanakiita tasbihi, wakatoliki wamekifunga msalaba wanakiita rozari. DO YOU SEE SIMILARITY?

SOME CONCLUDE THAT whoever created Budhism, is the one who created Catholicism and later when weather changed he created Islam.

Just like from westphalia, to world war I, The League of Nations, to World war II, to UN, to Cold War and now is Terrorist. And we re forced to dance in the figments of their immaginations.
So is the one who created religion.

Don't you see how religion is indeed a crap? manmade organisations na wanadanganya kuwa they belong to God as they know we are ropi dops who can not and dont know to reason.
 
Mohamad hakuwa na mtoto wa kiume. hiyo genetic inayomlink naye inatoka wapi, hata hivyo uhusiano wa kigenetic wa zaidi ya miaka 1400 kweli una-exist scientifically and how do you trace it?

read Below

Muhammad was known for a calm, deliberate, judicious temperament in all his decisions, and skill as a diplomat. Yet, underneath, he had a nervous and anxious longing for something much more than could normally be attained. His inner restlessness was in fact so severe, that he reputedly had nervous breakdowns. He was outwardly successful and respected, but inwardly restless, unhappy, and anxious.
One of the main sources of his unhappiness was that he had no male heir. This was a disgrace for all Semitic people, including Arabs. The Arab epithet for a man who had no male heir was "abtar." This means something like "castrated" or "emasculated."


Katika masuala ya genetic miaka 2000 ni kama jana. Watu wameweza kujua genetic ya jurassic era na kutengeneza tomography ya viumbe waliokuwepo from scratch. Tatizo lipo katika kupata DNA isiyokuwa contaminated unapo-refer miaka mamilion. Kwa hiyo hata kama Mohamed hakuwa na mtoto wa kiume DNA yake ilikuwa passed kwa watoto wake wa kike. Kumbuka ni mayai mawili yaliyopatikana kwa meiosis yanaungana (50% 50%). Kukwepa sayansi hapa niseme tu tena miaka hata 10,000 ni kama jana tu...Angalia hapa huyu sea monster alivyokuwa mtawala enzi za jurassic

BBC News - CT scan for colossal sea monster
 
Mohamad hakuwa na mtoto wa kiume. hiyo genetic inayomlink naye inatoka wapi, hata hivyo uhusiano wa kigenetic wa zaidi ya miaka 1400 kweli una-exist scientifically and how do you trace it?

read Below

Muhammad was known for a calm, deliberate, judicious temperament in all his decisions, and skill as a diplomat. Yet, underneath, he had a nervous and anxious longing for something much more than could normally be attained. His inner restlessness was in fact so severe, that he reputedly had nervous breakdowns. He was outwardly successful and respected, but inwardly restless, unhappy, and anxious.
One of the main sources of his unhappiness was that he had no male heir. This was a disgrace for all Semitic people, including Arabs. The Arab epithet for a man who had no male heir was "abtar." This means something like "castrated" or "emasculated."

Tafadhali jina la Raasul'laah linaandikwa kwa ufasaha " Muhammad s.a.w" mmoja wa watoto wake wa kiume aliitwa Qassim !
Mara zote mmekua mkitaka kuingia kuogelea katika bahari kubwa msioijuwa mwanzo wala mwisho ! kazi yenu ni kuleta Thread zisizo na mashiko na kuleta mitundiko (posts) yenye maelezo ya vijiweni ! hovyooo!

 
Lengo nimeshangazwa na kipindi cha CNN cha Wolf Blitzer...kiitwacho Situation Room.....na katika vinjari zao za jengo la Supreme koti ya Marekani kumbe kuna picha ya Mtume Mohammed...............

Nijuavyo mimi ni marufuku kuwa na picha hiyo......................sijui kama ni ya kweli au ni ya kuigiza.............wenye habari zaidi watujuze.....................

Vilevile ningependa kufahamu kwa nini hakuna maandamano ya kupinga picha hiyo kuwepo au ni kwa vile hakuna ajuaye juu ya hilo?



" Masanamu, alama kama misalaba, mapicha na vitu vinavyo fanana na hivyo ni urithi wa makafiri si umeona jengo lilivyo sheheni mastatue !
Hakika hayo madude yako mahali panapostahili, hata Yesu (Issah) ambaye mmemtundika kila mahali sie yule aliekua akieneza Injil. Ni mambo ya kupanga ya makafiri.
Kisa kimoja cha Nabii Ibrahim alipokuta ndugu zake wamechachamaa kuabudu masanamu, siku moja alitoka na shoka na kuyafunja funja yote kasoro moja tu, kubwa lao ! akchukua shoka akalibebesha kubwa lao. Wenyewe walipokuja kuabudu wakakuta waungu wameuawa ! wakamfuata Nabii Ibrahim na kumuuliza kuwa pametokea nini ? mbona amevunja masanamu yao ? Yeye akawaambia muulizeni huyo mkubwa mwenye shoka begani! Wakasema haiwezekani bwana ni wewe tu !
Kumbe hata wao walikua wanajua katika masanamu (mapicha) hamna kitu! HIVYO SISI HATUNA HAJA YA MAANDAMANO, SIKU MOJA KUBWA LAO LITAYAFUNJA FUNJA YOTE!!!!
 
Last edited by a moderator:
I got this crap in one of the crap documents HERE


it is indeed a crap so is all religion are craps as they are made by people, as God is not religious but full of love to every creature s/he created.

Ask yourself, kuna kitu fulani kimoja wabudha wanacho wanakitumia katika ibada zao kina fundo kubwa kwa chini sijui wanakiitaje, lakini waislamu wanakiita tasbihi, wakatoliki wamekifunga msalaba wanakiita rozari. DO YOU SEE SIMILARITY?

SOME CONCLUDE THAT whoever created Budhism, is the one who created Catholicism and later when weather changed he created Islam.

Just like from westphalia, to world war I, The League of Nations, to World war II, to UN, to Cold War and now is Terrorist. And we re forced to dance in the figments of their immaginations.
So is the one who created religion.

Don't you see how religion is indeed a crap? manmade organisations na wanadanganya kuwa they belong to God as they know we are ropi dops who can not and dont know to reason.

Na wanapoambiwa msifanye uharibifu ulimwenguni, ' wao husema ''sisi ndio watengenezaji''
Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.
Na wanapoambiwa: "Aminini kama walivyoamini watu kabla yenu" wao husema: "ooh! Tuamini kama walivyoamini wale wapumbavu?" Hakika wao ndio wapumbavu lakini hawajui. Quran: Baqara 11:13
 
Back
Top Bottom