Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Habari wanabodi,
Nimefanya ka uchunguzi ka haraka haraka nikagundua kuna hizi kampuni ambazo zimebobea kuajiri wageni kwenye nafasi nyeti especially za uhasibu na general administration mojawapo ni Superdoll, Bakhresa Group, Quality Group, Mohamed Enterpises etc hapa nimetaja chache. Kampuni hizi zinamilikiwa na wazalendo sasa inakuwaje wanaleta nyomi kutoka India kupiga kazi wakati vijana wapo mitaani wanakufa njaa? Bakhresa, Manji, Nassor , Dewji kwani hamna mswahili mzalendo mwenye CPA , ACCA anayeweza kuwa Financial Controller hapo hadi ukakokote wahindi kutoka India? Kama tatizo experience si muweke waswahili chini yao wajifunze halafu wakishajua mnaondoa hao wajamaa.
Mbona hawa wenzetu wanakosa uzalendo? Kama wahindi wanaweza sana kuongoza si wahamishe na hizi biashara zao ziende huko India?
Hivi tatizo ni nini wana bodi ni kwamba watanzania hatuwezi hizi kazi? au tuna demand pesa nyingi? au ndio uzoefu? au kasumba tu!?
Nimefanya ka uchunguzi ka haraka haraka nikagundua kuna hizi kampuni ambazo zimebobea kuajiri wageni kwenye nafasi nyeti especially za uhasibu na general administration mojawapo ni Superdoll, Bakhresa Group, Quality Group, Mohamed Enterpises etc hapa nimetaja chache. Kampuni hizi zinamilikiwa na wazalendo sasa inakuwaje wanaleta nyomi kutoka India kupiga kazi wakati vijana wapo mitaani wanakufa njaa? Bakhresa, Manji, Nassor , Dewji kwani hamna mswahili mzalendo mwenye CPA , ACCA anayeweza kuwa Financial Controller hapo hadi ukakokote wahindi kutoka India? Kama tatizo experience si muweke waswahili chini yao wajifunze halafu wakishajua mnaondoa hao wajamaa.
Mbona hawa wenzetu wanakosa uzalendo? Kama wahindi wanaweza sana kuongoza si wahamishe na hizi biashara zao ziende huko India?
Hivi tatizo ni nini wana bodi ni kwamba watanzania hatuwezi hizi kazi? au tuna demand pesa nyingi? au ndio uzoefu? au kasumba tu!?