Superdoll, s.s bakhresa group, metl, etc

Maundumula

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
7,553
3,070
Habari wanabodi,

Nimefanya ka uchunguzi ka haraka haraka nikagundua kuna hizi kampuni ambazo zimebobea kuajiri wageni kwenye nafasi nyeti especially za uhasibu na general administration mojawapo ni Superdoll, Bakhresa Group, Quality Group, Mohamed Enterpises etc hapa nimetaja chache. Kampuni hizi zinamilikiwa na wazalendo sasa inakuwaje wanaleta nyomi kutoka India kupiga kazi wakati vijana wapo mitaani wanakufa njaa? Bakhresa, Manji, Nassor , Dewji kwani hamna mswahili mzalendo mwenye CPA , ACCA anayeweza kuwa Financial Controller hapo hadi ukakokote wahindi kutoka India? Kama tatizo experience si muweke waswahili chini yao wajifunze halafu wakishajua mnaondoa hao wajamaa.

Mbona hawa wenzetu wanakosa uzalendo? Kama wahindi wanaweza sana kuongoza si wahamishe na hizi biashara zao ziende huko India?

Hivi tatizo ni nini wana bodi ni kwamba watanzania hatuwezi hizi kazi? au tuna demand pesa nyingi? au ndio uzoefu? au kasumba tu!?
 
Ni kweli, Hawa wahindi hasa Mohamedi DEWJI na bAKHERSA NI SHETANI KABISA NA WANATUMIA FEDHA KUONGA UHAMIAJI KUPATA VIBALI KUAJIRI WAARABU NA WAHINDI.metl hata magari ananunua TATA ya India na kwamba anaonekana kama balozi mzuri kwa kuwa anatoa ajira nyingi kwa wahindi wenzake na kununua mali za india.na Bakhersa yeye nafasi nzuri kuanzia supervisor na meneja ameajiri waarabu au watu wenye asili ya huko na hata mishahara ni tofauti na waafrika weusi. METL amejenga mpaka jengo la ghorofa kama nne hivi maeneo ya Kurasini na kuweka mahausi geli kwa ajili ya kuhudumia wahindi wanaofanya kazi kwenye viwanda vyake vya mafuta na wengi hawana ujuzi kabisa isipokuwa ni rushwa na kujuana kupata vibali. LAANA TUPU NA UJINGA KABISA TANZANIA KUWA SHAMBA LA BIBI.
 
hii nchi italiwa sana mpaka watu wakaelimike kwisha kazi

Halafu waswahili wao kazi yao kununua bidhaa zao wakati jamaa wanawanyima kula... inatakiwa kugoma kununua bidhaa zao mpaka na wao wabadirike.Pia nimekutana na Wakenya na Wahindi kibao eti salesmen, hivi kweli Watanzania wamejaa kibao hawana kazo tunaleta Wakenya na wahindi kwa kazi hizo. Dawa ni sisi Watanzania kugoma kununua bidhaa zao hala tuone janja yao. Amkeni jamani , hawa walikimbia Kenya kwa sabau hiyo wanatuona wajinga sisi.
 
Wadau nadhani mmesahaua kitu kimoja kuwa jamii ya watu hawa wanawacheck black people kama masokwe fulani hivi.Yaani wanadharau na ubaguzi wa rangi umewajaa sana.Binafsi siwakubali hata kidogo, kwani hata wao hawamkubali mtu mweusi, wanamuona kama uchafu fulani hivi.
 
duuu metl ndani kuna hostel uhamiji wakifika wanachukua chao wanatimka, yaan wahindi wenyewe hakuna cha profeshen wala nini hasa kwenye kiwanda chao cha maji na juice. Yaan hii nchi real inanuka.
 
Habari wanabodi,

Nimefanya ka uchunguzi ka haraka haraka nikagundua kuna hizi kampuni ambazo zimebobea kuajiri wageni kwenye nafasi nyeti especially za uhasibu na general administration mojawapo ni Superdoll, Bakhresa Group, Quality Group, Mohamed Enterpises etc hapa nimetaja chache. Kampuni hizi zinamilikiwa na wazalendo sasa inakuwaje wanaleta nyomi kutoka India kupiga kazi wakati vijana wapo mitaani wanakufa njaa? Bakhresa, Manji, Nassor , Dewji kwani hamna mswahili mzalendo mwenye CPA , ACCA anayeweza kuwa Financial Controller hapo hadi ukakokote wahindi kutoka India? Kama tatizo experience si muweke waswahili chini yao wajifunze halafu wakishajua mnaondoa hao wajamaa.

Mbona hawa wenzetu wanakosa uzalendo? Kama wahindi wanaweza sana kuongoza si wahamishe na hizi biashara zao ziende huko India?

Hivi tatizo ni nini wana bodi ni kwamba watanzania hatuwezi hizi kazi? au tuna demand pesa nyingi? au ndio uzoefu? au kasumba tu!?

Kuna tatizo la uaminifu pia ingawa, uvivu wa baadhi yetu na sio wote, na imani ya waajiri kwamba ni rahisi kuwadhibiti foregners kuliko locals. Wageni hawana misiba mingi ya kuhudhuria kama locals
 
Kuna tatizo la uaminifu pia ingawa, uvivu wa baadhi yetu na sio wote, na imani ya waajiri kwamba ni rahisi kuwadhibiti foregners kuliko locals. Wageni hawana misiba mingi ya kuhudhuria kama locals

Dah kaka Mwanao nina mwaka wa 4 sijawahi kumisi kazini kwa sababu yeyote :happy:

Sidhani kama ma proffessionals wa kitanzania wana tabia hizo. Umkute mtu mwenye CPA , ACCA, MBA , MSC na miaka kama 10 ya experience kweli awe mvivu mvivu anategea kuja kazini pasi na sababu ya msingi? Mimi nadhani hawa wenzetu wana lao jambo!
 
Dah kaka Mwanao nina mwaka wa 4 sijawahi kumisi kazini kwa sababu yeyote :happy:

Sidhani kama ma proffessionals wa kitanzania wana tabia hizo. Umkute mtu mwenye CPA , ACCA, MBA , MSC na miaka kama 10 ya experience kweli awe mvivu mvivu anategea kuja kazini pasi na sababu ya msingi? Mimi nadhani hawa wenzetu wana lao jambo!


But what else do the employers think? Maana ukiangalia kampuni kubwa za ulaya na marekani, wao issue ni kupata qualified people na sio wala wala wetu.
 
But what else do the employers think? Maana ukiangalia kampuni kubwa za ulaya na marekani, wao issue ni kupata qualified people na sio wala wala wetu.

Ndahani,

Ila katika ingia ingia zangu kwenye haya maofisi yao nimegundua kitu kimoja ambacho hawa wahindi wa kutoka India na sisi tunatofautiana. Wao when Mr big boss tell them to jump they simply ask "How high" hawanaga maswali maswali wananyenyekea saana, kwao bosi kama semi mungu. I think hawa mabosi wao wana enjoy hii hali maana obedience ya hawa watu imepitiliza. Nadhani ukimpata CPA wa Tanzania yeye anaweza kuwa mkali mkali kwenye maswala kama Tax evasion au reporting of actual income . It might also be a reason , i'm just guessing.
 
Ndahani,

Ila katika ingia ingia zangu kwenye haya maofisi yao nimegundua kitu kimoja ambacho hawa wahindi wa kutoka India na sisi tunatofautiana. Wao when Mr big boss tell them to jump they simply ask "How high" hawanaga maswali maswali wananyenyekea saana, kwao bosi kama semi mungu. I think hawa mabosi wao wana enjoy hii hali maana obedience ya hawa watu imepitiliza. Nadhani ukimpata CPA wa Tanzania yeye anaweza kuwa mkali mkali kwenye maswala kama Tax evasion au reporting of actual income . It might also be a reason , i'm just guessing.

Haaahaaa...ndo hapo tofauti ilipo. Halafu pass zao wamakaa nazo wenyewe au boss anawahifadhia? Ikiwemo kuwawekia sawa jamaa wa uhamiaji...kwanini usifanye kazi kama punda? Sisi hapa kwetu..tunafanya kazi kwa raha zetu bila presha za wakubwa kutaka tuchelewe kutoka na kuwahi kuingia ofisini
 
Mi nadhani tatizo letu wazawa ni kupenda kupiga michongo hasa mahala pa kazi. Inasemekana wadosi ukiwapa Msosi tu ni kazi kwa kwenda mbele, hivyo watu ambao washapigwa sana na jamaa zetu wameamua kuajiri wadosi.
 
Haaahaaa...ndo hapo tofauti ilipo. Halafu pass zao wamakaa nazo wenyewe au boss anawahifadhia? Ikiwemo kuwawekia sawa jamaa wa uhamiaji...kwanini usifanye kazi kama punda? Sisi hapa kwetu..tunafanya kazi kwa raha zetu bila presha za wakubwa kutaka tuchelewe kutoka na kuwahi kuingia ofisini

Hapo noma aisee

Bosi kuba ikikwambia "kenge wee" unajibu "kenge mwenyewe" sasa hapo patakalika? Wakati jamaa akimuona bosi anaingia ofisini kwake anasimama kumsalimie wewe huo utaratibu ulishauacha shule msingi.
 
dah kaka mwanao nina mwaka wa 4 sijawahi kumisi kazini kwa sababu yeyote :happy:

Sidhani kama ma proffessionals wa kitanzania wana tabia hizo. Umkute mtu mwenye cpa , acca, mba , msc na miaka kama 10 ya experience kweli awe mvivu mvivu anategea kuja kazini pasi na sababu ya msingi? Mimi nadhani hawa wenzetu wana lao jambo!

mkuu mbona hizo kampuni hata sijawai ona wanatangaza nafasi za kazi!
Au wanatanzazia magazeti gani??
 
Habari wanabodi,

Nimefanya ka uchunguzi ka haraka haraka nikagundua kuna hizi kampuni ambazo zimebobea kuajiri wageni kwenye nafasi nyeti especially za uhasibu na general administration mojawapo ni Superdoll, Bakhresa Group, Quality Group, Mohamed Enterpises etc hapa nimetaja chache. Kampuni hizi zinamilikiwa na wazalendo sasa inakuwaje wanaleta nyomi kutoka India kupiga kazi wakati vijana wapo mitaani wanakufa njaa? Bakhresa, Manji, Nassor , Dewji kwani hamna mswahili mzalendo mwenye CPA , ACCA anayeweza kuwa Financial Controller hapo hadi ukakokote wahindi kutoka India? Kama tatizo experience si muweke waswahili chini yao wajifunze halafu wakishajua mnaondoa hao wajamaa.

Mbona hawa wenzetu wanakosa uzalendo? Kama wahindi wanaweza sana kuongoza si wahamishe na hizi biashara zao ziende huko India?

Hivi tatizo ni nini wana bodi ni kwamba watanzania hatuwezi hizi kazi? au tuna demand pesa nyingi? au ndio uzoefu? au kasumba tu!?

Siku zote hapa jamvini vikiwekwa vitu vya ukweli,wewe ndio unakuwa wa kwanza kutetea uozo vp leo umekuja na hili?au yamekukuta?
 
Siku zote hapa jamvini vikiwekwa vitu vya ukweli,wewe ndio unakuwa wa kwanza kutetea uozo vp leo umekuja na hili?au yamekukuta?

Sijiongelei mimi mwenyewe naongelea vijana wetu walio wengi ambao wako mitaani tu na miaka inakatika wakati wana academic qualifications nzuri huku kazi zao zinafanywa na wageni.
 
Kwa taarifa yako hao superdoll ndo usiseme kabisa, hawaiamini ngozi nyeusi, sehemu zote nyeti wameweka waarabu wenzao, kama pale store, sehemu za purchasing , na sehemu za kufanyia malipo, halafu wana ubadhilifu sana unaweza ajiriwa leo lakini NSSF/PPF kadi utapewa baada ya mwaka na nusu. Wana ubaguzi wa hali ya juu na pia wameishika sirikali kweli kweli kuna kipindi walikuwa wanatengeneza ma trailer ya kufanyia kampeni ya chama cha mapinduzi. Ni hatari sana hawa. Pia ni wa miliki wa Mtibwa na kagera sugar companies..............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom