Mambo vp wazee wenzangu!mimi kwa mtazamo wangu hapa bongo naona tuna masuper staa watatu tu,nao ni AY,HASHEEM THABEET,P.FUNKY AKA MAJAN.coz hawa jamaa wamefanikiwa sana kufanya mambo flan tofaut tofaut na kuteka au kutu represent fresh, tukianza na hasheem hope anajulikana kwa kupiga kikapu mpaka anacheza pale Nba,then Ay ni mwanamuzik aliyehustle na bado anakomaa kupenyeza muzik wake nje ya tz mfano juz kati kapiga colabo na wasanii wa huko wa marekan,then ashatusua kora,chanel o.then p.funk ameleta mapinduz makubwa kwenye muzik na kufanywa upendwe ndan na nje ya tz,respect to them.nawasilisha huu ni mtazamo wangu!