Super Bowl XLIII - Karibuni Tampa Bay

Mwanakijiji,where you at?
Looks like we are going to feed all of Tampa KFC tonight.
Na hatubakizi hata manyoya.
 
Mwanakijiji,where you at?
Looks like we are going to feed all of Tampa KFC tonight.
Na hatubakizi hata manyoya.

haya we.. mshikaji noma sana.. tutaona lakini bahati nzuri niko busy napewa pole kwanza kiana. Si unajua tena baada ya kukesha nje kwa baridi na drama ya weekend.. Ila msishangilie sana hata siku moja moja kipofu naye hufikiri kaona mwezi!


Tutabanana nanyi beneti hatuendi mbali si unajua tena ndege huruka kwa mbawa zao!
 
haya we.. mshikaji noma sana.. tutaona lakini bahati nzuri niko busy napewa pole kwanza kiana. Si unajua tena baada ya kukesha nje kwa baridi na drama ya weekend.. Ila msishangilie sana hata siku moja moja kipofu naye hufikiri kaona mwezi!


Tutabanana nanyi beneti hatuendi mbali si unajua tena ndege huruka kwa mbawa zao!

Mtaruka sana mwaka huu,kutua hamtui.
Kisago all the way.
Half time entertainment has never tasted so kideri-like.
Go learn some rede before you put on the act you consider playing.
 
Ko ko ko kokoburial!
Mwanakijiji...make it double drumsticks...veggie!!!
I didn't see any meat left on those birds.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom