Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Kama mnavyojua SuperBowl XLIII inafanyika my hometown Tampa Bay. Game linachezwa Feb 1.
Wakati watu wa Midwest na North mnakaukiana kwa libaridi la kufa mtu, huku tutakuwa kwenye 80's. Mwanakijiji, AbTichaz na Geeque (Midwest Crew) mpo? Mzee wa New England "Yournameismine" vipi nawe masikio yatakuwa yanaganda kwa baridi? Nyani Ngabu na Icadon najua hapo ATL kutakuwa na baridi pia. Kwa hiyo msione noma kujisogeza huku ma-bay area. Ni masaa sita kupush mchuma.
Kwa kudodosa tu, Ijumaa Jan 30 tutakuwa Channelside tunalenga vitunguli kwa kutumia vitufe vyenye vitundu vitatu (bowling). Jumamosi Jan 31, tutaanza kwa kuchoma mbuzi mzima, halafu jioni tutakuwa Clearwater Beach tuna jet skiing kwenye 80 degrees Gulf of Mexico.
Kwa mara nyingine tena another Black Coach (Steelers Coach) is going to win SuperBowl. First was Tony Dungy (SuperBowl XLI).
Karibuni nyote....
Wakati watu wa Midwest na North mnakaukiana kwa libaridi la kufa mtu, huku tutakuwa kwenye 80's. Mwanakijiji, AbTichaz na Geeque (Midwest Crew) mpo? Mzee wa New England "Yournameismine" vipi nawe masikio yatakuwa yanaganda kwa baridi? Nyani Ngabu na Icadon najua hapo ATL kutakuwa na baridi pia. Kwa hiyo msione noma kujisogeza huku ma-bay area. Ni masaa sita kupush mchuma.
Kwa kudodosa tu, Ijumaa Jan 30 tutakuwa Channelside tunalenga vitunguli kwa kutumia vitufe vyenye vitundu vitatu (bowling). Jumamosi Jan 31, tutaanza kwa kuchoma mbuzi mzima, halafu jioni tutakuwa Clearwater Beach tuna jet skiing kwenye 80 degrees Gulf of Mexico.
Kwa mara nyingine tena another Black Coach (Steelers Coach) is going to win SuperBowl. First was Tony Dungy (SuperBowl XLI).
Karibuni nyote....