King Shaat
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 863
- 835
Hivi Beast Mode na Megatron mbona wanataka kustaafu mapema hivyo wakati ndo wako katika prime of their careers and still have got enough gas left in their tanks to last 4-5 seasons?!
Dah, yaan one just can't stomach that easily!. The dude was a bulldozer in that 1, always was! Sa sijui ni nini hasa kinazurura katika mind yakeYeah arifu...beast mode kaamua kustaafu bana.
Seahawks wameshathibitisha.
Sucks.
Ha ha ha! So Carolina Panthers ya Stephen Curry wamepigwa chalii!
Hawa na si walishinda games nyingi sana kwenye regular?
Dah, yaan one just can't stomach that easily!. The dude was a bulldozer in that 1, always was! Sa sijui ni nini hasa kinazurura katika mind yake
Welp...kwenye NFL hakunaga series mazee.
Ni mambo ya one and done tu.
Panthers kwenye regular season walienda 15-1.
Sasa hasira zake mtaziona mkikutana nae kwenye series..Hawa Panthers niliwasikia sana Stephen Curry akiwasifu ndo nikawa nawafuatilia.
Ila nimefurahi tu timu anayoishabikia huyu dogo imepoteza.
The Home of the Titans on Instagram: “ He look mad af.. #broncos #superbowl #funniest15seconds Email: funniest15seconds@yahoo.com Youtube: funniest15seconds Website:…”
Hivi huyu kweli ni Eli? Au just some mock-ups! Coz ka ni kweli...
Najua kuna play-off ambayo ni conference wise na ni game moja moja.
Hawa Panthers niliwasikia sana Stephen Curry akiwasifu ndo nikawa nawafuatilia.
Ila nimefurahi tu timu anayoishabikia huyu dogo imepoteza.
Huu mchezo sio mpenzi kabisa ila kipindi cha Super Bowl unajikuta unalazimika kufuatilia kwa sababu ya matangazo na zile shamra shamra.
Nakumbuka mwaka jana wakati kina Tom Brady wanashinda last minute, was a thriller!
〽#MemeTangClan on Instagram: “Follow @weeks.vfx let the memes begin! Welp there's always next year #dab”
Hahahaha uwiii asee watu ni barbaric balaa