Supa staa Boban

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
Sina la kuongezea
225631_10150273090447482_709002481_7561056_1928921_n.jpg


Anaitwa kiungo bora sijui na manini nini vile Haruna moshi Boban kulia

270352_10150259716772482_709002481_7426794_13421_n.jpg


Hapa Supa staa Boban akitoka kuchukua medali yake ya kombe la kagame.
 
Sina la kuongezea
225631_10150273090447482_709002481_7561056_1928921_n.jpg


Anaitwa kiungo bora sijui na manini nini vile Haruna moshi Boban kulia

270352_10150259716772482_709002481_7426794_13421_n.jpg


Hapa Supa staa Boban akitoka kuchukua medali yake ya kombe la kagame.

Ni mzee wa viroba nini? Bongo watu wamechoka, mchezaji wa timu kubwa anavaa "yeboyebo"?
 
hapo kwenye picha anamimina kiroba(konyagi) kwenye chupa halafu wakifika uanjani wanaact ni maji.baada ya mchezo half time unakuta anakunywa.kama hujui utajua anakunywa maji kumbe ni kiroba.mia
 
Badala ale chakula cha kujenga mwili na kuongeza nguvu, anakula cha kupunguza nguvu. Ndio maana wamekuwa vigeu vigeu, wakiwa Chadi: 2 vs 1. Wakiwa nyumbani 1 vs 0 - Mcheza kwa Hatunzwi.
 
hapo kwenye picha anamimina kiroba(konyagi) kwenye chupa halafu wakifika uanjani wanaact ni maji.baada ya mchezo half time unakuta anakunywa.kama hujui utajua anakunywa maji kumbe ni kiroba.mia

Kama ikigunduliwa inaweza kuchukuliwa kama alitumia dawa za kuongeza nguvu?
 
hapo kwenye picha anamimina kiroba(konyagi) kwenye chupa halafu wakifika uanjani wanaact ni maji.baada ya mchezo half time unakuta anakunywa.kama hujui utajua anakunywa maji kumbe ni kiroba.mia
usikute alikuwa anamiminia maji ya kandoro kwenye chupa
 
225631_10150273090447482_709002481_7561056_1928921_n.jpg

Naona hapo yuko Nurdini Bakari..kijiti mixer kiroba...duh....mawela camp....Boban Jembeee...nakumbuka hii tumetoka sudan kufuzu kwenda CHAN
 
Mbona huyu jamaa hana tofauti na wale jamaa wanaouzaga mayai kule kwa Mtogoro?
 
Back
Top Bottom