Sina la kuongezea
Anaitwa kiungo bora sijui na manini nini vile Haruna moshi Boban kulia
Hapa Supa staa Boban akitoka kuchukua medali yake ya kombe la kagame.
Ndio maana Taifa stars wako rojorojo
Ni mzee wa viroba nini? Bongo watu wamechoka, mchezaji wa timu kubwa anavaa "yeboyebo"?
hapo kwenye picha anamimina kiroba(konyagi) kwenye chupa halafu wakifika uanjani wanaact ni maji.baada ya mchezo half time unakuta anakunywa.kama hujui utajua anakunywa maji kumbe ni kiroba.mia
Kama ikigunduliwa inaweza kuchukuliwa kama alitumia dawa za kuongeza nguvu?
Ni mzee wa viroba nini? Bongo watu wamechoka, mchezaji wa timu kubwa anavaa "yeboyebo"?
Kwanini alibadilisha jezi na kuvaa kiraia na kupokea medali.Sina la kuongezea
Anaitwa kiungo bora sijui na manini nini vile Haruna moshi Boban kulia
Hapa Supa staa Boban akitoka kuchukua medali yake ya kombe la kagame.
usikute alikuwa anamiminia maji ya kandoro kwenye chupahapo kwenye picha anamimina kiroba(konyagi) kwenye chupa halafu wakifika uanjani wanaact ni maji.baada ya mchezo half time unakuta anakunywa.kama hujui utajua anakunywa maji kumbe ni kiroba.mia