Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au kadri unavyopata sapu linapungua urefu kuna tungetoka na na vizibao au vitopbwana IBWE unataka kusema mteja ni mfalme, ingekua siku ya mahafali joho linakua na viraka sawa na idadi za sup ulizopata ingekua noma sana
Komaa uklie,kama uko 1st year sijui kama utamaliza.GPA vipi?Jamani wana jf nipo kwenye sup huku udom jamani sup inakera
Ha ha haaaa,na confo chini.au kadri unavyopata sapu linapungua urefu kuna tungetoka na na vizibao au vitop
<br />Sup saa hz? Acha uongo wewe, ndo kwanza wameanza kuachia matokeo ARIS, na 3rd year wataenda kuanzia october kusapua! Hyo yako mwenyewe ni ya wapi? UONGO NI NOUMER..!
Jamani wana jf nipo kwenye sup huku udom jamani sup inakera
Huoni aibu kusema??
Inakuaje mtu unasapuka? Mmi sijawahi kusapuka hata mara moja mpaka nimemaliza pale UD!
Mzumbe tulikua tunaita sullivan summit....................
Kumbe udom napo pana supp.
Kumbe udom napo pana supp.
Sua tulikuwa tunita seminar.