Mkuu hukuwaona watoto walivokuwa wengi wakati sumalee anaimba wakaitwa kwena kuzunguka stage?
Nimemnukuu mtangazaji wa star tv akisema baadhi ya sungusungu wametoka bariadi katika moa mpya wa SIMIYU na kwa sababu walikuwa wakitofautiana rangi za mavazi yao ya chama ndo akasema pengine watakuwa wametoka maeneo mbali mbali tofauti na bariadi.
Mimi nimeangalia hii picha ya huyu kijana aliyeshika bango roho imeniuma sana. Yaani ukiangalia ha-connect kabisa na kinachoendelea, utakuta kaahidiwa Tzs 1,000 ili ashike. Ni sura ya mtu anayejiuliza umuhimu hasa wa sherehe hizo na maisha yake. Tena mbaya zaidi bango lenyewe linaonekana la siku nyingi walichofanya ni kubadili miaka tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.