William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
wewe uliyeanzisha thread ya vakesheni ya issa michuzi ulikuwa unamuonea wivu,husuda,majungu,gere au kijicho?
Hukujua kama michuzi analipa kodi na kutoa zawadi kwa watanzania?
Katizame comments kwenye michuzi blog juu ya topic yako ya kijicho kwa michuzi.
Kama sumaye alikuwa hana ugonjwa wa kiasi hicho kwanini alipelekwa ulaya na kutumia kodi zetu kwenye mahubiri ya kidini? Lazima kuna walinzi wanaolipwa kwa kodi zetu wameongozana nae.
Au baada ya kumaliza check up arudi nyumbani kwani lazima awe anaishi hotelini akiwa uingereza na chumba chake pekee yake hakipungui pounds elfu mbili kwa siku,bado wapishi na walinzi.huu ni utapeli wa kodi za wananchi.
- Saafi sana Kanda2, hoja hujibiwa kwa hoja hapa tupo pamoja sana mkuu.
Respect.
FMES!