MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
In short mkuu fanya research of what a current & retired government official is entitled to by law. Ukisha fanya your research njoo utuambie ni nini kafanyiwa au kafanya kinyume na sheria.
1.Ubalozi wowote wa Tanzania upo kuhudumia wananchi wake. Yeye kama kiongozi mstaafu alistahili kupewa gari la kutumia. Mbona hata nyumbani viongozi wetu wastaafu wanapewa misafara na ulinzi? That is something Sumaye will have for life.
2.Kila mtu ana imani yake na ana haki ya kui hubiri. Kwani mzee Mwinyi akitoka nje ya Tanzania aka amua kuhubiria Uislamu ata katazwa? Hiyo ya kuhubiri dini siyo neno as long as haja vunja sheria.
3.Huko unako dai kuzurura we ulitaka afanyeje muda wote? Hata ingekua wewe ungekaa hospitali 24/7. Tuwe na ubinadamu kidogo. Hata ingekua wewe unge tembea tembea. Kaenda kwenye check-up which means siyo lazima kuwa anaumwa bali ni kuangaliwa. Hata angekua anaumwa kama mtu ana sikia unafuu kwa nini asi tembee.
4.Utam linganishaje mbunge na waziri mkuu mstaafu? Mwakyembe ni mbunge which means ana privilege chache zaidi ya waziri mkuu/waziri mkuu mstaafu. Hata kimahesabu it makes sense, wabunge ni wengi kuliko mawaziri wakuu wastaafu kwa hiyo gharamu za kuwapa wabunge fulani ukiamua kuwapa wote ni kubwa kuliko kuwapa mawaziri wakuu wastaafu.
5.Kama nilivyo sema awali kuna privileges mtu anapewa kutokana na cheo alicho nacho au alicho kua nacho. Mafao haya lingani kwa kila mtu. Useme labda mafao ni makubwa kwa viongozi basi yapunguzwe kwa kurekebisha sheria iliyopo ila ukumbuke aliye juu aki punguziwa basi na aliye chini nae ata punguziwa. This would mean watu uta wabania pension zao na tayari ni hovyo as it is. I suggest you do your research well ukija jamvini unatupa something not just concrete but logical also. Siyo kulalamika tu just because mtu alikua kiongozi basi ukadhani kila utakacho msema watu wataku support.
1.Ubalozi wowote wa Tanzania upo kuhudumia wananchi wake. Yeye kama kiongozi mstaafu alistahili kupewa gari la kutumia. Mbona hata nyumbani viongozi wetu wastaafu wanapewa misafara na ulinzi? That is something Sumaye will have for life.
2.Kila mtu ana imani yake na ana haki ya kui hubiri. Kwani mzee Mwinyi akitoka nje ya Tanzania aka amua kuhubiria Uislamu ata katazwa? Hiyo ya kuhubiri dini siyo neno as long as haja vunja sheria.
3.Huko unako dai kuzurura we ulitaka afanyeje muda wote? Hata ingekua wewe ungekaa hospitali 24/7. Tuwe na ubinadamu kidogo. Hata ingekua wewe unge tembea tembea. Kaenda kwenye check-up which means siyo lazima kuwa anaumwa bali ni kuangaliwa. Hata angekua anaumwa kama mtu ana sikia unafuu kwa nini asi tembee.
4.Utam linganishaje mbunge na waziri mkuu mstaafu? Mwakyembe ni mbunge which means ana privilege chache zaidi ya waziri mkuu/waziri mkuu mstaafu. Hata kimahesabu it makes sense, wabunge ni wengi kuliko mawaziri wakuu wastaafu kwa hiyo gharamu za kuwapa wabunge fulani ukiamua kuwapa wote ni kubwa kuliko kuwapa mawaziri wakuu wastaafu.
5.Kama nilivyo sema awali kuna privileges mtu anapewa kutokana na cheo alicho nacho au alicho kua nacho. Mafao haya lingani kwa kila mtu. Useme labda mafao ni makubwa kwa viongozi basi yapunguzwe kwa kurekebisha sheria iliyopo ila ukumbuke aliye juu aki punguziwa basi na aliye chini nae ata punguziwa. This would mean watu uta wabania pension zao na tayari ni hovyo as it is. I suggest you do your research well ukija jamvini unatupa something not just concrete but logical also. Siyo kulalamika tu just because mtu alikua kiongozi basi ukadhani kila utakacho msema watu wataku support.
Last edited: