Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
Hata Kikwangala alipata sema hivyo hivyo na ikaandikwa hapa JF kwamba Kigwangala " Kufanya maamuzi magumu Jumanne..." ikafika, ikapita na zinaendelea kupita Jumanne nyingine hakuna cha tamko wala cha maamuzi magumu.So it is to be for Sumaye, I bet! Chezeya maji ya bendera weye!