Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Hawa ndo aina ya viongozi nisopenda hata kuwasikia yaaani kawa waziri mkuu for ten good years bado anataka kuwa katika mashindano ya vitu kama hivi ili iwe nini sijui........alienda kusoma Havard sijui ........kwa nini wasianzishe miradi hata ya kuelimisha wananchi tuuu huko wilayani na kitaifa ili kusaidia jamii.......madawati hakuna na yeye ana links nyingi tu kutokana na wadhifa aliowahi kuubeba.......haoni Maajar's family atleast wanafanya kitu??????
Hivi hawaoni kina Bill Gates?????
Unapokuwa mtu mzima ni bora kurudi katika jamii utakozikwa kuliko kukomaa na era ambayo tayari haijali nani ulikuwa huko nyuma..........acha wajifunze in a hard way!!!!!!!
Huwa wanaishia kuumbuka tu!
Yeye alitakiwa afanye kama kaka yake BEN aanzisha ka NGO kake afanye mambo ya jamii.