Wanajanvi. Ile press conference ya sumaye imekuja na mapya gani. Wenye data mtujuze please. Inasemekana Jk ndiye kinara wa kuwatumia hawa wakora kuwashambulia wastaafu wanaojaribu kuonyesha njia namna nchi inavypswa kuongozwa. Hawa wastaafu wanamkosesha mkulu usingizi na akaamua kumtumia mwanaye kuleta fitina kwa kupitia wakora (uv chama cha-majamba). Any updates please?